Fomu za kupimia afya watumishi wa mahotelini.

Fomu za kupimia afya watumishi wa mahotelini.

zeuman

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2023
Posts
265
Reaction score
501
Naomba kwa aliye na sample ya fomu ya kupimia afya watumishi wa mahotelini na kwenye migahawa aniwekee hapa. Ukiniwekea pdf yake nitashukuru sana. Ninafungua mgahawa, sasa kupata hizo fomu wahusika wanadengua, wanataka sh 15,000/= kwa kila fomu!! sasa kwa watumishi watano nadaiwa 75,000/=(mbali na gharama ya vipimo). Nikiipata mahali nitaenda nayo ili kupunguza gharama. Natanguliza shukrani!!
 
Nimejaribu kuzitafuta kwenye internet sijafanikiwa!!
 
Hizo fom zinatolewa na halmashauri chini ya idara ya afya,nenda ofisi ya mganga mkuu au nenda ofisi ya mtendaji wa kata onana na afisa afya wa kata watakusaidia.

Kila la kheri.
 
Hizo fom zinatolewa na halmashauri chini ya idara ya afya,nenda ofisi ya mganga mkuu au nenda ofisi ya mtendaji wa kata onana na afisa afya wa kata watakusaidia.

Kila la kheri.
Asante!
 
Back
Top Bottom