Nina hoja.
Ili kupunguza visa vya Wanandoa kuendelea kuwekeana chuki na kuumizana wakati wa mchakato wa kutengana kimahakama, naona ni vema fomu za TALAKA ziwekwe kwenye mifumo ya mahakama mtandaoni ili watalaki wawe wanajaza huko.
Ikiwezekana maamzi yawe yanatolewa kupitia mifumo salama ya mawasiliano ya wahusika.
Jioni njema ndugu zangu. Kesho ni jumapili.📻
Ili kupunguza visa vya Wanandoa kuendelea kuwekeana chuki na kuumizana wakati wa mchakato wa kutengana kimahakama, naona ni vema fomu za TALAKA ziwekwe kwenye mifumo ya mahakama mtandaoni ili watalaki wawe wanajaza huko.
Ikiwezekana maamzi yawe yanatolewa kupitia mifumo salama ya mawasiliano ya wahusika.
Jioni njema ndugu zangu. Kesho ni jumapili.📻