Font ya maneno “City Bus” kwenye ubavu wa daladala za Dar es Salaam ni ubunifu wa nani?

Font ya maneno “City Bus” kwenye ubavu wa daladala za Dar es Salaam ni ubunifu wa nani?

The Sheriff

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2019
Posts
747
Reaction score
2,112
Wakuu,

Kuna jambo nimejiuliza siku nyingi sana kuhusu maneno “City Bus” yanayoonekana kwenye daladala nyingi za Dar es Salaam. Font ya haya maneno yanafanana katika daladala zote na hili ndilo lililonifanya nijiulize kama hii font kuna mtu mwenye hakimiliki yake maana imekuwa kama ndiyo official font ya daladala za Dar.

Kuna mwenye historia ya nani aliigundua na imekuwaje mpaka kila daladala inaitumia? Je, hizi daladala zinapigwa chapa kwa mtu mmoja au ni font tu imesambaa na kila mmoja ana uhuru wa kuitumia? Kwa yeyote mwenye historia ningependa kusoma anachokijua.

City Bus 1.PNG

City Bus 2.PNG

City Bus 3.PNG
 
Wakati nimeingia mjini baada ya kutoka kwa miaka kadhaa, kuna jirani yetu alikuwa na daladala mbili nikaona zimeandikwa City Bus. Basi bana nikapiga misele town kila daladala imeandikwa City Bus. Niliporudi kijiweni nikawaambia watu huyu jirani yuko vizuri naona ana daladala nyingi sana. Watu walicheka sana ndio nikaambiwa City Bus ndio jina la daladala zote.
 
Wakuu,

Kuna jambo nimejiuliza siku nyingi sana kuhusu maneno “City Bus” yanayoonekana kwenye daladala nyingi za Dar es Salaam. Font ya haya maneno yanafanana katika daladala zote na hili ndilo lililonifanya nijiulize kama hii font kuna mtu mwenye hakimiliki yake maana imekuwa kama ndiyo official font ya daladala za Dar.

Kuna mwenye historia ya nani aliigundua na imekuwaje mpaka kila daladala inaitumia? Je, hizi daladala zinapigwa chapa kwa mtu mmoja au ni font tu imesambaa na kila mmoja ana uhuru wa kuitumia? Kwa yeyote mwenye historia ningependa kusoma anachokijua. V

View attachment 3092223
View attachment 3092224
View attachment 3092225
VETA

Ova
 
Wakati nimeingia mjini baada ya kutoka kwa miaka kadhaa, kuna jirani yetu alikuwa na daladala mbili nikaona zimeandikwa City Bus. Basi bana nikapiga misele town kila daladala imeandikwa City Bus. Niliporudi kijiweni nikawaambia watu huyu jirani yuko vizuri naona ana daladala nyingi sana. Watu walicheka sana ndio nikaambiwa City Bus ndio jina la daladala zote.
😀😀😀😀😀
 
Wakati nimeingia mjini baada ya kutoka kwa miaka kadhaa, kuna jirani yetu alikuwa na daladala mbili nikaona zimeandikwa City Bus. Basi bana nikapiga misele town kila daladala imeandikwa City Bus. Niliporudi kijiweni nikawaambia watu huyu jirani yuko vizuri naona ana daladala nyingi sana. Watu walicheka sana ndio nikaambiwa City Bus ndio jina la daladala zote.
Dah! 😀 😀
 
Back
Top Bottom