Food

Active hii picha Haina maadili ya jf,iondolewe Mara moja, unless Kama siku hizi Kuna jukwaa la pornograph
 
Nyama iyo haina haja ya chumvi maana chumvi ipo unachovya tu yani kudabulaπŸ˜†πŸ˜†
 
Nchi yetu ina safari ndefu sana ya kupiga. Sidhani kama tulipata uhuru kweli ile Desemba 12, isijekuwa Mkoloni alitusainisha mikataba feki. Kizazi hiki ila.
 
Hee! nimekimbilia kuona misosi, kumbe chakula chenyewe ni kitumbuaπŸ™„
 
Active hii picha Haina maadili ya jf,iondolewe Mara moja, unless Kama siku hizi Kuna jukwaa la pornograph
Aiseee unajua kuangalia, Mwanzo sikuelewa;Sasa hivi nimeangalia kwa Umakini nimekuta Vyakula vya aina mbili,hicho cha kwenye sahani na hicho kilichofichwa kwenye Pichu.Kweli picha haina Maadili ya kabisa.Halafu kuna uma mbili, bila shaka uma mwingine ni WA Dume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…