Fools day imepotezewa

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Watz ni watu wa kufade up things fools day imepotezewa kama ilivyopotezewa Valentine day! Safi sana ila Watz tupunguzeni uboya na kushadadia mambo ya nje [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
In the next few hours tutaona impact
 
Watz ni watu wa kufade up things fools day imepotezewa kama ilivyopotezewa Valentine day! Safi sana ila Watz tupunguzeni uboya na kushadadia mambo ya nje [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
Ni kweli. tuache ulimbukeni
 
Mkuu kumbuka dunia ya leo ni tofauti sana. Mtandao umefanya tuwe karibu karibu mno. Na April fool Kwani ni leo!?
Hata mtandao ni mambo ya nje nao tuacheni nao!? Hakuna ubaya kuiga ali mradi tu tunachoiga hakina negative impact kwenye jamii yetu ya Watanzania.

Watz ni watu wa kufade up things fools day imepotezewa kama ilivyopotezewa Valentine day! Safi sana ila Watz tupunguzeni uboya na kushadadia mambo ya nje [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
 
Kaka nimepost muda huu kwa makusudi kabisa utaona turnover ya kesho fewer hours from now
 
Watz ni watu wa kufade up things fools day imepotezewa kama ilivyopotezewa Valentine day! Safi sana ila Watz tupunguzeni uboya na kushadadia mambo ya nje [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
In the next few hours tutaona impact
Nani kaipoteza??
 
Reactions: BAK
Me naisubiria tu apa nim bashite mtu
 
Yan mwaka jana sitasahau...nilitumiwa msg na namba flan hivi ya mtu namfaham..akanambia "yule mchumba ako kafumaniwa sehemu flan nenda sa hv ukaone"

Sikuwaza wala sikufikiria hilo nkatulia kimyaa....

baada ya saa moja ikaja ingne kutoka kwa mtu mwingine inasema kitu kile kile...

uvumilivu ukanishinda...kilichofuata SINA RAFIKI HADI LEO..woote piga chini staki akili za kipumbavu na ujinga ujinga kuzinguaaa!
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…