Football betting ligi zinaanza wadau mpo tuweke mikeka

duh hatari hiyo ...tiririka mwanawane mie nituliage home tuu na marimba ya mzungu
Kama una 1M. Mfano Jumamosi tarehe 11/08/2019 Westham vs Man City unachagua over 1.5 odds 1.16

Ukiweka 1M utapata 1,160,000/=
(hiyo ni mechi moja, haya mchukue na Liverpool hapo afu mpe Double chance)
 
Kama una 1M. Mfano Jumamosi tarehe 11/08/2019 Westham vs Man City unachagua over 1.5 odds 1.16

Ukiweka 1M utapata 1,160,000/=
(hiyo ni mechi moja, haya mchukue na Liverpool hapo afu mpe Double chance)

Kha...kumbe huu mchezo ni wenye hela...hiyo million mie sina.
 
Nilianza na 7000,hadi jana nina 350000 kwa live betting... inahitaji muda... wa kutosha kufuatilia mechi na presha ya moyo huwa juujuu.
Hapa nasubiri ifike saa nane nianze kubet live.... nile kadhaa niendelee na mambo mengine.
Unabet kwa kutumia mbetishaji yupi?
 
Vipi kuhusu hizi virtual nazo zinalipa ama?
Ukisikia kamari ndio zile sasa wala usijaribishe hata siku moja huo upumbavu, virtual maana yake ni kitu siyo real hivo yale ni makatuni yanachezeshwa na kompyta huwez pata lolote zaidi ya kuliwa.
 
Ukisikia kamari ndio zile sasa wala usijaribishe hata siku moja huo upumbavu, virtual maana yake ni kitu siyo real hivo yale ni makatuni yanachezeshwa na kompyta huwez pata lolote zaidi ya kuliwa.
Mkuu unatumia kampuni ipi kubet? Mkeka, sportpesa, mbet au
 
Mara ya mwisho kula ni 1 mil,,

Tokea hapo sijala tena pesa ndefu,,

Ila ndo tunakula vihela vidogo dogo na kupigwa kama kawa.

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…