Ronaldo mshahara wake kwa wiki ni euro 288,000....hiyo kwa pesa za bongo ni karibu shiling million 600 kwa wiki. Huo ni mshara tu anaolipwa na real madrid sio hela za matangazo au anazolipwa na sponsor wake (nike). Hata wasanii wakubwa marekani kama 50 cent au birdman hawajafikia utajiri wa namna hio wewe unamfananisha na daimond?. ..daimond sidhani hata kama kamzidi samatta