Footballer ataka kuvunja ndoa ya Jay Dee na Gardner?

cuiusvis hominis est errare,nullius nisi insipientis in errore perseverare=Anyone can err,but only the fool persists in his fault:Marcus Tullius Cicero,Philippica XII,ii,5.
 
Huyo sharobaro mshamba tuu! huwezi kumpigania mwanamke kama una akili zote
 
Habari hizi wapelekee wale wambea wa clouds radio Gea Habib na wenzake kwenye kipindi chao cha heka heka!!!
 
mbona kawaida sana kula jani ni sawa na kuvuta hewa tu halina utafauti hebu na wewe kula siku moja utaniambia ni starehe ka starehe zingine
well said, wida mbona ndio mpango mzima
 
Huyo sharobaro mshamba tuu! huwezi kumpigania mwanamke kama una akili zote
Nani sasa mshamba gardner ambaye anatetea ndoa yake au mwaipopo?kama kutetea ndoa ni ushamba bac ujanja umuache aliwe au ivunjike?
 

Nawatakia maisha mema yenye furaha..huyo Jide sijui na Credo Mwaipopo.........Gadner utakula vumbi tu.......nipo ofisini jamani..
 
:violin:Hapo pagumu, mke wako na wenzio pia ni mke wao, gari lake ni lako na wenzio pia ni gari lao. ugomvi wa nini Gadner. hujua Jide anachotafuta kwa hao wenzio, tulia pengine utaona matokeo😛eep:
 
mie nilikuwepo. Hiyo story yote kaipika huyu ndugu. Jiulizeni:

Credo ndie mlengwa kwanini agombane na Pacha?
Gadner kachukua gari la mkewe Jide naye alifikaje Maisha club?
Credo anamchukua jide, iweje amkumbatie live?
Gadner kaamua tu kumtemea Pacha mate!!!. LOL

Akili kichwani wana JF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…