mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Mfano Jana msuva ana 7.3 Samata pia ana 7.3 Ila watu wanamsifu msuva na kumlaumu Samata..
Bacca ana 7.8 afu Dismas ana 8.0 lakini watu wanamsifu zaidi bacca.
Hivyo hivyo kwenye kiungo Himid ana point nyingi kuwazid Mzamiru na Mudathir Ila Mudathir anasemwa vizuri kuliko..
Tujadilini hapa hiz point zinapatikanaje? Je tuziamini hizi kupima vigezo vya ubora wa mchezaji?
Nb.Sijaangalia mechi ya jana
Bacca ana 7.8 afu Dismas ana 8.0 lakini watu wanamsifu zaidi bacca.
Hivyo hivyo kwenye kiungo Himid ana point nyingi kuwazid Mzamiru na Mudathir Ila Mudathir anasemwa vizuri kuliko..
Tujadilini hapa hiz point zinapatikanaje? Je tuziamini hizi kupima vigezo vya ubora wa mchezaji?
Nb.Sijaangalia mechi ya jana