For how long should we....?

For how long should we....?

MwanajamiiOne

Platinum Member
Joined
Jul 24, 2008
Posts
10,470
Reaction score
6,580
Habari zenu.
Nimekuwa nikijiuliza sana juu ya mahusiano kati ya mke na mume ndani ya ndoa kuna vitu nimeshinmdwa kabisa kuvipatia majibu. Naombeni mnisaidie ndugu zangu.

Eti for how long tunatakiwa kusamehe na kusahau kwa kosa ambalo ni la kulirudia? Namaanisha kwamba kama wewe unachukia mpenzi wako kufanya kitu flani na ukamwambia jinsi unavyoumia akifanya kitu hicho, kwa hali ya kawaida mimi nilikuwa ninafikiri kuwa ukishamwambia kikukeracho atajitahidi juu chini katikati pembeni ili asikifanye tena..... kumbe lah kuna ambao wao huwa ni kawaida

Mf. mtu mwenye tabia ya kuchelewa kurudi majumbani bila kutoa taarifa au tabia yake ya kutoka kwenda saluni bila kukuaga wala kutoa taarifa!

unatakiwa kusamehe kila anapolifanya kosa hilo au ?
Na je anapolirudia huiwa anamaanisha nini?

wewe mwenzi wako akiwa anakufanyia hayo utajisikiaje na utaamua kitu gani?

Tafadhali nisaidieni.
 
Kwa kelu hii tabia huwa inakeraga sana tena sana. Kwa upande wangu na mimi ntaanza kuiga tabia yake ili nione reaction yake. Asiposema kitu khs hilo ujue hiyo ni tabia ambayo anaikubali kwa hiyo na wewe peta mama acha kujipa presha kama utaafiki hiyo tabia kama vipi hupendi huo mwenendo don´t waist time kwenye kitu ambacho hakibadiliki, na akionyesha kutokufurahi mwambie na wewe ndivyo usivyofurahishwa na tabia yake sasa hapa mtu ni akili kumkwicha. Nadhani hapa jamii inaweza kunielewa vibaya lakini huo ndio ukweli halisi, maana ukiangalia sisi sote ni binadamu, wenye moyo mmoja mmoja kwa nini umtreat mwenzio kama vile anamiyoyo saba ya paka! kha, ooh paliz give me a break on this. Kama yanakusibu haya dada pole sana.
 
Kwa kelu hii tabia huwa inakeraga sana tena sana. Kwa upande wangu na mimi ntaanza kuiga tabia yake ili nione reaction yake. Asiposema kitu khs hilo ujue hiyo ni tabia ambayo anaikubali kwa hiyo na wewe peta mama acha kujipa presha kama utaafiki hiyo tabia kama vipi hupendi huo mwenendo don´t waist time kwenye kitu ambacho hakibadiliki, na akionyesha kutokufurahi mwambie na wewe ndivyo usivyofurahishwa na tabia yake sasa hapa mtu ni akili kumkwicha. Nadhani hapa jamii inaweza kunielewa vibaya lakini huo ndio ukweli halisi, maana ukiangalia sisi sote ni binadamu, wenye moyo mmoja mmoja kwa nini umtreat mwenzio kama vile anamiyoyo saba ya paka! kha, ooh paliz give me a break on this. Kama yanakusibu haya dada pole sana.

Penny yaani nafikiri uko sawa kabisa. Dada yangu anaumia sana kwa haya mahusiano yaani shemeji anatabia ya kurudia rudia mambo ambayo dada hayapendi na ninahisi kuwa anafanya makusudi kwani anajua dada atakasirika atasema kisha yataisha then game inaanza tena kitu asichojua ni kuwa haya maudhi ya mara kwa mara tena over the same thing huwa yanakatisha tamaa na hupelekea sometimes mweni wako kuanza kuwa na tabia za ajabu ajabu. nafikiri ulichopropose kinafaa kabisa. Labda akiumizwa naye atajua ni kiasi gani anamwumiza mwenzie
 
Girls!...kuna wanaume wanaume wengine wanapenda kuwa chessed na mwanamke....na kama umemwambia mara moja na anarudia over and over then kaa ukijua hiyo ndiyo tabia yake na hatabadilika....kama mna date tuu then i think weka mguu ndani mguu nje.....angalia uasawa wako...maana hatabadilika na atakusumbua sana pale utakapo amua kuwa naye for better and for worse alafu utakuja kujilaumu baadaye.......sioni sababu ya kuwa na mtu ambaye anakuumiza kichwa na haina sababu ya kuanza kushindana naye....kama anakupenda then he will respect you and never do it again.....

huu siyo wakati wa kubembeleza mtu,,,,chukua chako mapema.....
 
Girls!...kuna wanaume wanaume wengine wanapenda kuwa chessed na mwanamke....na kama umemwambia mara moja na anarudia over and over then kaa ukijua hiyo ndiyo tabia yake na hatabadilika....kama mna date tuu then i think weka mguu ndani mguu nje.....angalia uasawa wako...maana hatabadilika na atakusumbua sana pale utakapo amua kuwa naye for better and for worse alafu utakuja kujilaumu baadaye.......sioni sababu ya kuwa na mtu ambaye anakuumiza kichwa na haina sababu ya kuanza kushindana naye....kama anakupenda then he will respect you and never do it again.....

huu siyo wakati wa kubembeleza mtu,,,,chukua chako mapema.....

Kelly I like your motto, but this is happening ndani ya ndoa tayari kwa mtu ambaye mmeshaoana then anakufanyia hivi, mimi huwa ninamtafsiri vibaya sana shemeji yangu (am sorry to say this but anakera sometimes). Picha inayonijia kichwani ni kuwa yeye anamdharau sana dada kwa sababu angekuwa anamrespect kama mke hasingekuwa anarudia makosa ! Na mara nyingi dada huwa anamruhusu kuwa huru ila tu aseme amepitia wapi na atarudi muda gani. Tatizo shemeji haonekani kuwa makini kwani akipata chance tu basi hafanyi makosa kama ni kurudi ataweza hata kurudi asubuihi asipostuliwa (sijui hata hao anaokuwa naye wanamfikiriaje - kama si vidosho lakini)
 
Kelly I like your motto, but this is happening ndani ya ndoa tayari kwa mtu ambaye mmeshaoana then anakufanyia hivi, mimi huwa ninamtafsiri vibaya sana shemeji yangu (am sorry to say this but anakera sometimes). Picha inayonijia kichwani ni kuwa yeye anamdharau sana dada kwa sababu angekuwa anamrespect kama mke hasingekuwa anarudia makosa ! Na mara nyingi dada huwa anamruhusu kuwa huru ila tu aseme amepitia wapi na atarudi muda gani. Tatizo shemeji haonekani kuwa makini kwani akipata chance tu basi hafanyi makosa kama ni kurudi ataweza hata kurudi asubuihi asipostuliwa (sijui hata hao anaokuwa naye wanamfikiriaje - kama si vidosho lakini)

MJ..hiyo tabia yake imeanz akubadilika lini?...that is aproblem with me pnce wakishaona kuwa wamepewa uhuru wa kufanya kitu basi they tned to abuse ile freedom......na siwezi amini kama ni kweli huko anapokuwa hadi asubuhi anakuwa na washikaji lazima itakuwa kidosho....trust me!....inabidi dada ajaribu kufuatiliya nyenendo za shemeji ikiwezekana ww ndiyo umasaidie sasa kuangalia hizo nyenendo za shemeji kama ni kweli....ana kuwa muda wote na washikaji tuu au kuna wakati anamalizia haja zake kwa vidosho.....

Mj darling nitafute kwa PM nikupe darasa kwa dada trust me shemeji hatatoka nje tena na atakuwa anarudi home mapema sana.......
 
.......sioni sababu ya kuwa na mtu ambaye anakuumiza kichwa na haina sababu ya kuanza kushindana naye....

...huu siyo wakati wa kubembeleza mtu,,,,chukua chako mapema.....
Mmmhh Kelly, msamehe NN, hatarudia tena!!
 
MJ..hiyo tabia yake imeanz akubadilika lini?...that is aproblem with me pnce wakishaona kuwa wamepewa uhuru wa kufanya kitu basi they tned to abuse ile freedom......na siwezi amini kama ni kweli huko anapokuwa hadi asubuhi anakuwa na washikaji lazima itakuwa kidosho....trust me!....inabidi dada ajaribu kufuatiliya nyenendo za shemeji ikiwezekana ww ndiyo umasaidie sasa kuangalia hizo nyenendo za shemeji kama ni kweli....ana kuwa muda wote na washikaji tuu au kuna wakati anamalizia haja zake kwa vidosho.....

Mj darling nitafute kwa PM nikupe darasa kwa dada trust me shemeji hatatoka nje tena na atakuwa anarudi home mapema sana.......
Umeongea kweli dada, asante sana.
 
MwanajamiiOne, anachopropose Penny apo juu ni sawa, lakini nadhani pia pamoja na kumwambia mkuwa anaumia anavofanya hivyo, amweleze ni kwa nini, kwa kufanya hivyo, inampunguzia heshima yeye mwenyewe na familia kwa ujumla...kwamba kwa kuendela kuchepuka chepuka bila utaratibu, inajenga dhana kuwa ana kidosho mwingine...sio lazima dhana hiyo ijengeke kwa mkewe ila hata kwa ndugu na majirani na hiyo zio nzuri.

Kingine labda kama alivouliza mmoja hapo juu, ameanza lini, ili kama ni kiytu kimeanza tu bila utaratibu basi walau tunaweza kuwa na another line of argument..kwa sasa na assume ni tabia yake (toka mwanzo?)
 
MJ..hiyo tabia yake imeanz akubadilika lini?...that is aproblem with me pnce wakishaona kuwa wamepewa uhuru wa kufanya kitu basi they tned to abuse ile freedom......na siwezi amini kama ni kweli huko anapokuwa hadi asubuhi anakuwa na washikaji lazima itakuwa kidosho....trust me!....inabidi dada ajaribu kufuatiliya nyenendo za shemeji ikiwezekana ww ndiyo umasaidie sasa kuangalia hizo nyenendo za shemeji kama ni kweli....ana kuwa muda wote na washikaji tuu au kuna wakati anamalizia haja zake kwa vidosho.....

Mj darling nitafute kwa PM nikupe darasa kwa dada trust me shemeji hatatoka nje tena na atakuwa anarudi home mapema sana.......


Kelly can you just put the 'darasa' here ili na wengine wafaidike...i.e kama halihusu namba za simu nk...
 
Kelly can you just put the 'darasa' here ili na wengine wafaidike...i.e kama halihusu namba za simu nk...
Mengine ni ya kitchen party baba, sasa akiweka hapa ataaribu mambo! Wewe mfate huko huko chumbani.
 
Mengine ni ya kitchen party baba, sasa akiweka hapa ataaribu mambo! Wewe mfate huko huko chumbani.


Ndiyo maana nakupenda mke mwenza/schoolmate!......tumetoka mbali eeh!...toka kwa mother Fi hadi JF hadi mke mwenza....

Umehadimika sana!......
 
Ndiyo maana nakupenda mke mwenza/schoolmate!......tumetoka mbali eeh!...toka kwa mother Fi hadi JF hadi mke mwenza....

Umehadimika sana!......
Nipo mke mwenza...,
Mwee yalionisibu kupelekea mpaka kupotea humu ndani ndo kama nilivyokueleza kule chumbani.
 
Nipo mke mwenza...,
Mwee yalionisibu kupelekea mpaka kupotea humu ndani ndo kama nilivyokueleza kule chumbani.

Nimekuelewa na nimekujibu!....ila sasa we need to talk maana its a long story na kwenye chumba si unajua siamini sana....
 
Mengine ni ya kitchen party baba, sasa akiweka hapa ataaribu mambo! Wewe mfate huko huko chumbani.


sasa Penny mbona unani'sakizia'..chumbani tena na mi mwanaume, si ndo atantukana kabisa, kama ni pati ya jikoni mimi walaaa...nitamtafuta Mwanajamii atanin'gata sikio tu...

Au Kelly ar u willing?🙄
 
sasa Penny mbona unani'sakizia'..chumbani tena na mi mwanaume, si ndo atantukana kabisa, kama ni pati ya jikoni mimi walaaa...nitamtafuta Mwanajamii atanin'gata sikio tu...

Au Kelly ar u willing?🙄

hahahaha! uwiii yeah kama una issue na demu wako wee njoo chumbani nitakupa darasa lako.....
 

hahahaha! uwiii yeah kama una issue na demu wako wee njoo chumbani nitakupa darasa lako.....

hahahah...poa nitakuja..siku hizi haniulizi tena mbona 'sijamletea zawadi'...so nahisi kuna kitu...🙁 (ila mwambie NN asijibu on ya behalf,, okeeey?)
 
Women marry men thinking they will change.men marry women thinking they will not.so both are equally dissapointed.huo wana jf ni mtego huwezi jinasua.natanguliza pole zangu kwa yeyote yanayomkumba.
 
hahahah...poa nitakuja..siku hizi haniulizi tena mbona 'sijamletea zawadi'...so nahisi kuna kitu...🙁 (ila mwambie NN asijibu on ya behalf,, okeeey?)

hahahaha i will make sure NN hajibu usiwe na shaka....so kama ulikuwa na tendency ya kumpa zawadi every now and then ........ni kitu gani kilichokufanya sasa uache?..........inabidi uendelee hivyohivyo ila kama ni issue ya recesion nitakuelewa....
 
Back
Top Bottom