For how long should we....?

hahahah...poa nitakuja..siku hizi haniulizi tena mbona 'sijamletea zawadi'...so nahisi kuna kitu...πŸ™ (ila mwambie NN asijibu on ya behalf,, okeeey?)

Ni kweli kabisa....dont marry a person thinking kuwa utambadilisha.....that is a no no situation....tena a grown up person?!>...ni kwamba unajiingiza kwenye matatizo zaidi......nakubaliana na ww ndugu yangu!.......
 
hahahaha i will make sure NN hajibu usiwe na shaka....so kama ulikuwa na tendency ya kumpa zawadi every now and then ........ni kitu gani kilichokufanya sasa uache?..........inabidi uendelee hivyohivyo ila kama ni issue ya recesion nitakuelewa....


hahaha, that one yes, lakini pia si unajua kuna ile 'mbona hujaniletea dhawadi'...sasa naona hakuna concern, isije ikawa anazipata kwingine lol, manake zawadi hata pipi ni zawadi....na ni sehemu tu ya experimentation kuona what works and what not....lol
 
Ni kweli kabisa....dont marry a person thinking kuwa utambadilisha.....that is a no no situation....tena a grown up person?!>...ni kwamba unajiingiza kwenye matatizo zaidi......nakubaliana na ww ndugu yangu!.......

Sijui Mwanajamii kenda wapi? angekuja kutupa ufafanuzi ili tuendelee kumpa ushauri zaidi,
Ila kwa ambao wameshaoana ni kuangalia namna ya 'kumoderate' tu hakuna ujanja hapo, ila kama mtu umefanya homework yako viruri kabla, huwezi kujutia~πŸ˜›
 

hiyo ni jino kwa jino. Si rukhsa
 

actual hata pipi ni zawadi...zawadi siyo lazima iwe kitu kikubwa.....unajua hata ukiwa nje ya nyumba ukachuma ua then ukampa atafurahi pia....what matters is how much you care about her...unajua ukitaka make your woman happy mfanyyie hata vitu vidogo vidogo tuu siyo lazima viwe vikubwa....hata ukapita dukani ukaona underwear nzuri ukasema wow let me buy this for my wife!.......mjali mkeo!>..
 

...ukiwa ni dereva wa mawazo yako, acha kujiudhi bure! kama ushamwambia jambo hilo hilo siku nenda rudi hajirekebishi ujue ndio kilema chake hicho. Jiliwaze kwa mazuri yake, hilo baya muachie mwenyewe mpaka siku 'yatapomkuta'.
 

Apo umenikuna......😎
 
You forgive and forget as many times as possible!THAT IS LOVE!
 
LOL!....Basi pitia hata victoria secret or fredrick of holllywood go get some naughty langrie....fanya kmu-surprise her leo basi....au siyo!...

nitakupa majibu kesho!πŸ˜€
 

Kelly wangu aksante nashukuru sana kwa ushauri wako. Nitajaribu kumsaidia ingawa kwangu itakuwa ngumu kwani asa huo usiku nitamfuatiliaje shemeji ili kuona kama yuko na kidosho au la? Maana mie mwenyewe ntamwachaje wangu ndani Kelly? au ndo nimshirikishe naye katika kuandaa fumanizi? mh hata simwaini hakawii kumshtua maana wanaelewana kiasi flani ati!

Ntakuona PM mamaa
 

Mwambie akimchunguza sana kuku hatoweza kumla.
 
Mh Keizer sikujua kama wewe nawe u guru katika masuala ya mahusiano !! Aksante sana yani hapa umenifumbua akili wajua sikuwahi kufikiria kama majirani wanaweza kuhisi ndivyo sivyo! Na vile dada yangu wanaishi nyumba za kupanga basi akirudi muda wowote lazima majirani watasikia tu!! Ah kama ni aibu basi keshajiaibisha. Tabia hii shemeji kaianza baada ya mambo yake kuwa safi, now amenunua kibaloon basi kero anarudi muda atakao tena akiwa njwiii! Dada anatamani hata kutoboa matairi siku moja!
 
sasa Penny mbona unani'sakizia'..chumbani tena na mi mwanaume, si ndo atantukana kabisa, kama ni pati ya jikoni mimi walaaa...nitamtafuta Mwanajamii atanin'gata sikio tu...

Au Kelly ar u willing?πŸ™„

Nami pia ntakuita chumbani !!πŸ˜•
 
Women marry men thinking they will change.men marry women thinking they will not.so both are equally dissapointed.huo wana jf ni mtego huwezi jinasua.natanguliza pole zangu kwa yeyote yanayomkumba.
.. Yaani fundiaminy hii ni kweli kabisa yaani inatubidi tuwe makini sana katika uchaguzi wa wenza! Maana kosa moja goli!
 
. Tabia hii shemeji kaianza baada ya mambo yake kuwa safi, now amenunua kibaloon basi kero anarudi muda atakao tena akiwa njwiii!

Hahahaha ana uhakika hawezi kabwa na vibaka kwa hiyo yupo free kurudi any time, vp una ni vyema awe anaenda na wife kujirusha viwanja? kama Bills, Jolly n.k watoto watabaki na nani?
Lakini yawezekana shemeji anajipongeza kwa kununua baloon ameisotea hiyo asikwambie mtu.
 
Wote wanamatatizo kiujumla , kwanza kabla ya kuoana mnasomana na mnaridhiana kwamba niko tayari kwa haya . Kwa maana nyingine unakuwa unafahamu mapungufu yake vinginevyo umeuvaa mkenge. Msaada sasa kwako wewe utesekaye mwambie waziwazi kuwa sio sawa na mwisho wake ni off. Wewe unayekerwa na shem mtokee mweleze kuwa siyo mambo lakini uwe makini kwani walikubaliana kuishi kwa shida na raha . Na hizo ni sehemu ya shida zenyewe anazotakiwa kuvumilia si umenisoma vinginevyo angesema niko tayari kwa raha tuu jamaa angeahirisha wongo??? Utaniambia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…