Wote wanamatatizo kiujumla , kwanza kabla ya kuoana mnasomana na mnaridhiana kwamba niko tayari kwa haya .
Sijui Mwanajamii kenda wapi? angekuja kutupa ufafanuzi ili tuendelee kumpa ushauri zaidi,
Ila kwa ambao wameshaoana ni kuangalia namna ya 'kumoderate' tu hakuna ujanja hapo, ila kama mtu umefanya homework yako viruri kabla, huwezi kujutia~😛
...ukiwa ni dereva wa mawazo yako, acha kujiudhi bure! kama ushamwambia jambo hilo hilo siku nenda rudi hajirekebishi ujue ndio kilema chake hicho. Jiliwaze kwa mazuri yake, hilo baya muachie mwenyewe mpaka siku 'yatapomkuta'.
Wewe umeongea mkuu.
Tatizo dada zetu siku hizi wanakimbilia sana kuolewa bila hata ya kufikiri mtu mmeonana kwa mwezi tu unakubali ofa ya kuolewa nae sasa hujui tabia zake angalia sasa baada ya ndo jamaa anarudi saa 7 au 8 huko usiku yupo kilaji anaingia chumbani analala na viatu hahahaha mjaribu kuwapa shule dada zetu jamani sio unaona mtu anakiescudo basi unajua ndo mme wa kweli huyu hehehe unaona sasa mnajuuta.
You forgive and forget as many times as possible!THAT IS LOVE!
matabia ya mtu akiwa nje ni tofauti na mnavyoingia ndani.....
Mwambie akimchunguza sana kuku hatoweza kumla.
Akihalalisha je kuna ubaya?
Wewe kaka Fidel wifi awe kila mara anarudia kitu ambacho umeshamwambia mara nyingi kuwa hukipendi utafanyaje?
Akihalalisha kitu gani tena kaka Skeleton opssssi Fidel?
Karibu mama sijakutia machoni siku mingi.
Tabia ya mtu ni rahisi sana kuisoma pindi unapo mpa mwanya ajiachie sasa tatizo lenu iwa mnakaba mpaka vivuri jamaa anashtukia mchezo anaficha makucha.
Hahahaha ana uhakika hawezi kabwa na vibaka kwa hiyo yupo free kurudi any time, vp una ni vyema awe anaenda na wife kujirusha viwanja? kama Bills, Jolly n.k watoto watabaki na nani?
Lakini yawezekana shemeji anajipongeza kwa kununua baloon ameisotea hiyo asikwambie mtu.
, mana kama ameamua kufanya hivyo ni atafanya tu mpaka atakapojichokea atatulia mwenyewe
Fidel kukaba ni muhimu pale panapostaili ma love,...kusoma tabia ya mtu na kumjua vilivyo ni ngumu sana babake! nipo nipo Fidel.
Wote wanamatatizo kiujumla , kwanza kabla ya kuoana mnasomana na mnaridhiana kwamba niko tayari kwa haya . Kwa maana nyingine unakuwa unafahamu mapungufu yake vinginevyo umeuvaa mkenge. Msaada sasa kwako wewe utesekaye mwambie waziwazi kuwa sio sawa na mwisho wake ni off. Wewe unayekerwa na shem mtokee mweleze kuwa siyo mambo lakini uwe makini kwani walikubaliana kuishi kwa shida na raha . Na hizo ni sehemu ya shida zenyewe anazotakiwa kuvumilia si umenisoma vinginevyo angesema niko tayari kwa raha tuu jamaa angeahirisha wongo??? Utaniambia
matabia ya mtu akiwa nje ni tofauti na mnavyoingia ndani.....
Ndo maana nawashaurigi watu, do not waist time because time is not waiting for you. Mwenzio akimwaga ugali wewe mwaga mchuzi mambo mengine mbele kwa mbele. Kwa nini mtu usijipe raha na mda wenyewe tuliopewa na Mwenyezi Mungu ni limited.ah
hehehehe akija kutulia unamvalisha nepi kazi kweli kweli...ila wivu ni mzuri au mbaya?
Wewe kama Fidel ufanyiwe hivyo, utakubali?
Hapo umeongea!hahahaha ndo maana mi nawaambieni mi bado nipo nipo kwanza hizi presha bana siziwezi kabisa naweza ua mtu bure