For JamiiForums Mobile users

Vilaza hatujifichi huwa hatupendi shida au mambo magumu yanayosumbua kichwa..! Ebu tujipe pole kwa kutopenda kujifunza...!
I can sure you, niko vizuri upstairs kuliko wewe.Jitihada zangu na nyenzo zangu kufanya mambo magumu ni yale hasa yanayoleta tija katika maisha. Your thinking capacity can not even reach my knee let alone my toes.
 
Vilaza hatujifichi huwa hatupendi shida au mambo magumu yanayosumbua kichwa..! Ebu tujipe pole kwa kutopenda kujifunza...!

So, this is how unatumia unatumia ubongo wako. Braza tuko tofauti sana. Next time changia tu mada acha kujiingiza katika ku attack mtu.
 
mkuu hivi unaweza kupiga mstari na kuweka rangi kwa wakati mmoja half hapo kwenye kuweka smiley sijakuelewa kabisa funguka zaid RGforever
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…