Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,287
Jifunze jinsi ya kuweka maandishi mkolezo rahisi sana fanya hivi
andika sentensi ur all most done
namimi naweza wewejamii forum
jamiiforumsjamii forums
Hebu fafanua!Jifunze jinsi ya kuweka maandishi mkolezo rahisi sana fanya hivi
andika sentensi ur all most done
Nilikosea kwenye uzi ule unatakiwa kufanya hiv sentensiHebu fafanua!
Najaribu: Nakushukuru kwa kunielimishaNilikosea kwenye uzi ule unatakiwa kufanya hiv sentensi
Ila usi ache nafasi mi miacha ili uone
shedede, "how to bold fonts" bado sijakupata@jamii forum
Kwenye mabano weka capital B instead of bold. Iwe then after the word malizia na hilo bano la pili ila uweke pia B kubwa badala ya boldZoezi: [bold]Elimu[/bold]