Pastory Kimaryo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 967
- 668
Dah hapo sijui kama nimekupata vizuri, hebu quote reply yangu hapo juu afuu hiyo hiyo ireply nione utofauti ukoje!pastory kimaryo
Mchungaji Kimaryo REPLY ni KUMJIBU na hasa iatatpkeza kwa yule unayetaka tu kumpa jibu lako katika Mada nzima na km unaongeza ya kwako katika Mada utashuka chini kabisa na kukuta kibox hapo unaendelea na yako ambayo yatahusiana na Mada, Post # 1
lkn QUOTE ni KUMNUKUU hapo sasa unaweza kutoa maelezo mbali kabisa na Mada ukimnukuu mwingine na kuileta kwenye Mada iwe kwenye post huru au kwa kumREPLY mmojawapo
na hapo unaweza kuQUOTE wengi tu na bado ukaziweka kwenye post moja(km vile forward kwenye Whatsapp)
Debe tupu!magwanda
Dah hapo sijui kama nimekupata vizuri, hebu quote reply yangu hapo juu afuu hiyo hiyo ireply nione utofauti ukoje!
safari hii Quote imefichwa hapo kwenye vidot 3 vya wima , halafu mstari wa pili chini utaona"Samahani kama nitakuwa nipo nje ya mada ila naomba nieleweshwe tofauti ya REPLY na QUOTE kwenye JamiiForums
ok nimeshakuelewa nikiingia kwenye Mobile baadae nitaangalia JF Mobile wanavyohighlight na kupastehizo Quote na kuReplySamahani, mimi natumia jamiiforums mobile na natumia freebasics kwahiyo sina PC, labda kama unaweza kunijibu kwa experience ya jamiiforums mobile
Pia nilikuwa nataka clear difference kwa wewe kuamua kwa reply moja ya kwangu uiquote ukishamaliza ku quote then uireply ili nione utofauti wa kuquote na kureply manake mimi nikienda kwenye notification bell naona watu wamequote replies zangu lakin mbona mimi nareply kawaida na sion utofauti kati ya wanvyoquote reply yangu na mimi ninavyoreply za kwao?
Nashukuru nduguok nimeshakuelewa nikiingia kwenye Mobile baadae nitaangalia JF Mobile wanavyohighlight na kupastehizo Quote na kuReply
Bro thanks nimekuja kuielewa difference sasa, kuquote basically ni kutaka kureply mesej kadhaa kwa mkupuo ila kama ukiquote mesej moja katika muonekano haina utofauti na kureply (actually one message)ok nimeshakuelewa nikiingia kwenye Mobile baadae nitaangalia JF Mobile wanavyohighlight na kupastehizo Quote na kuReply
Hi,naataka kuweka front kwny cm ya samsung nikiandika maansishe yabadilike
Umeshadownload?ahsante
MOBILE[/COLOUR]Hello Guys,
Najua Mobile users wa JF wanamiss vitu ving sana vya uzuri wa JF. Mfano kuweka Rangi katika Maandishi ya Post yako au Thread.
SASA KAMA UNATAKA KUWEKA rangi katika Post yako kuna Njia rahisi ya kutumia bila kutumia COMPUTER.
TUANZE.
HEBU TUWEKE RANGI NYEKUNDU
1. Kama umeandika Maneno yako mfano Neno MOBILE
Tutatumia code hizi mbili
1.
2.[/COLOR ]
Usiweke Space yoyote ila mi nimeweka ili zionekane tu hizi Code
OKAY
Sasa Mwanzo mwa neno MOBILE yaani Nyuma ya herufi M weka code hiyo ya kwanza halafu mwisho mwa neno MOBILE yaani mbele ya herufi E weka code hiyo ya Pili. Its DONE.
MOBILE[/COLOR ]
Au hivi MOBILE [/COLOR ]
MOBILE
KWA CODE ZINGINE HIZI HAPA
[HASHTAG]#000000[/HASHTAG] black
[HASHTAG]#FFFFFF[/HASHTAG] white
[HASHTAG]#FF0000[/HASHTAG] red
[HASHTAG]#008000[/HASHTAG] green
[HASHTAG]#0000FF[/HASHTAG] blue
[HASHTAG]#FFFF00[/HASHTAG] yellow
[HASHTAG]#808080[/HASHTAG] gray
[HASHTAG]#800080[/HASHTAG] purple
[HASHTAG]#00FF00[/HASHTAG] lime
[HASHTAG]#00FFFF[/HASHTAG] aqua
[HASHTAG]#FF00FF[/HASHTAG] fuchsia
[HASHTAG]#800000[/HASHTAG] maroon
[HASHTAG]#000080[/HASHTAG] navy
[HASHTAG]#808000[/HASHTAG] olive
[HASHTAG]#C0C0C0[/HASHTAG] silver
[HASHTAG]#008080[/HASHTAG] teal
[HASHTAG]#EE82EE[/HASHTAG] violet
NOTE:
Unaweza kuweka Code number au Jina la Rangi kama hapo juu yalivyoorodheshwa
Halafu Unamalizia kwa code ya pili. THANKS GUYS
kulist vitu ni
item1
item2
ambayo itaonekana hivi
item1
item2
UPDATE
KUPIGIA MANENO MSTARI
MSTARI
Toa au rudisha hizo space and u're done
MSTARI
KUWEKA SMILEY
Toa au rudisha hizo space and u're done
1 :do h: :doh:
2 :win k: π
3 :bathbab y: :bathbaby:
4 :embarrasse d: :embarrassed:
5 :coffe e: β
6 πopcor n: πΏ
7 :mwaaa h: :mwaaah:
8 :flypi g: :flypig:
9 :range r: :ranger:
10 :israe l: :israel:
11 :lo l: [emoji38]
12 :tongu e: π
13 :wink 2: :wink2:
14 πee p: πeep:
15 :gossi p: :gossip:
16 :smas h: :smash:
17 :evi l: :evil:
18 πo a: πoa
19 :focu s: :focus:
20 :y o: :yo:
MORE TO COME.
HERUFI KUBWA
Kama Unataka Kuweka Herufi Kubwa. Basi Fanya hivi...
andika maneno yako Mfano JF MOBILE. Sasa mwanzoni weka code hii na Mwishoni weka Code hii [/size ] Usiruke space kama mimi.. And its DONE. Hiyo 15 unaweza kuibadili kulingana na size unayotaka.
JF MOBILE oooh Niiice
KUWEKA NENO CLICK HERE au KUWEKA LINK
Ni Ngumu kidogo.but lets try
[ url=www.jamiiforums.com] CLICK HERE [/url]
Hapo nilipoandika jamiiforums unaweza kuweka web address yoyote ile. Ila kumbuka kutoruka space.
CLICK HERE
KUWEKA PICHA
Kama unataka kuweka Picha JF maana kwenye Attachment wengi panawashinda.. Fuata Maelezo Yafuatayo utafanikiwa bila matatizo..MENTION SOMEONE
Changamoto ya njia hi ni kuwa hutoweza kupakua kutoka kwenye Simu yako........:doh: Oooops
OKAY TWENDE MOJA KWA MOJA.
1. Tafuta Picha yoyote kwenye internet au blogs/Google au source nyingine yoyote au ukipenda humu humu JF
2. Kama Unatumia OPERAMINI au UC BROWSER nenda kwenye ile Picha halafu Bonyeza OPEN IMAGE
3. Ukisha open image yako nenda pale juu ya Address ya image halafu COPY
4. Ukisha-COPY sasa unapoanzisha Thread au unapo-post Comment fanya hivi.
- Katika Post/thread anza nabila kuruka Nafasi. ...Tafadhali usisahau kuweka http://
HALAFU SUBMIT....
JUST LIKE THIS
JE UNATAKA KUMTAJA MTU KWENYE COMMENT AU POST YAKO ili Aione akiingia JAMIIFORUMS..AU MTU MWINGINE ANAWEZA KUCLICK JINA HILO NA KUONA PROFILE YAKE N.K
NI RAHISI SANA...JUST ANDIKA COMMENT YAKO HALAFU INAPOFIKA SEHEMU YA KUMTAJA WEKA HII ALAMA YA AT (@) UKIFATIA NA JINA LAKE
KAMA HIVI @ RGforever
usiruke nafasi kati ya @ na jina
RGforever
[/Red]sasa[/Red]1.najaribu hapa nione kama nitaweza2.