For JamiiForums Mobile users


Kudadadek nimegundua nyie watu wa IT mnafaidi sana hasa kwenye haya mautundu, sasa na mimi naenda Horizon napiga hata kimtindo, na mimi nataka niyajue haya madude, inakuwaje kila siku mnafaidi nyie tu? Haiwezekani, subir nimtafute Crashwise,nahangaika kugoogle ili nijue hayo ma Proxy lakini naishia kulala saa saba usiku halafu sijaambulia kitu.
 
Fear less, hope more;
whine less, breathe more;
talk less, say more;
hate less, love more;
And all good things are yours
 

Pole sana mkuu!
 

banplease:banplease:


🙂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…