Trice Sturmius
Member
- Sep 8, 2011
- 41
- 3
kwani we unasoma sua ndo maana kabla ya kupost kitu unaandika title ili kila mtu ajue sehemu inayomhusu nakushangaa kukomalia mambo yasiyokuhusu kweli umezeeka kama jina lako fu**k u "mzee"
who told u mi nasoma sua!? Thsy nliwaulza wana'udsm(soldarty 4vr). Kwn ht hcho chuo cha dom mnakionaje!?
mwambie hy shahibu, hata hajielewi. Kwn timetable z prbtn znahuska kwny biashara, c znahucka na elimu, hy vp huyu, mbna wakuja sna. Chapa lapa @mzee
mbona hujajibu unasoma chuo gani?
nimemaliza SUA.
so you are no longer a sua student hayakuhusu na ujifunze kuwa mstaarabu shame on you!@mzee
naona una stress za kama utapata job or not kwa hyo degree yako ndo maana unaropoka ka c.h.i.z.i.
kwa mawazo yako upo sahihi. Uliza nimemaliza kozi gani, mwaka gani na niko wapi!! Someni mkafanye sup wadogo zangu.
acha zngua wa2 wewe..hata ungekua mwezin hakuna m2 anayetaka kujua maisha yako humu,ila ce 2nakuonya ucpende kudharau mawazo ya wenzio,maana we kila thread unayochangia lazma uharibu 2..ebu anza kuact kama graduate bac..ucfanye mambo ya ajabu hadi wa2 wakashusha 'P' yako mkuu.
hv timetable y septmbr conference ya udsm ishatoka? Tafadhar naomb unjurishe plz
jukwaa la Elimu ni kujadili mambo ya maana sio ratba ya probation. Kuna siku mtauliza ratiba za masomo. Sio lazma kila mmoja kuanzisha topic. Shame on you.
Hakuna wanafunzi unaojuana nao hadi uje jf?.
Haya sasa, watoto wa fesibuku wameingia humu.
Mtu anaomba msaada, mwingine kwa vile amesoma extension mwaka juzi basi anajiona yeye ndo dvc msolla....damn, hivi dvc ni nani siku hiizi?
Kijana mambo ya msingi kama hayo sio ya kuyafanyia mzaha. wewe badala ya kuuliza hizo habari SUA unakuja kuuliza JF. Unauhakika gani na unayemuuliza hili swali kuwa ni msuaso???jamani hizi shule za kata hizi zitaliangamiza taifa jamani. Huyu ni graduate mtarajiwa anafanya mambo kibabaishaji hivi.Piga simu chuoni sua upate reliable and first hand information from the horse mouth.Samahani wakuu naomba kuuliza kama ratiba ya probation exams imetoka maana kwenye website hakuna chochote na nimesikia tetesi kuwa mitihani ni tar 17 sio 10 kama almanac inavyosema please tujulishane
You are very right ila kwa taarifa anazozihitaji huyo bwana inabidi awe na uhakika nazo 100%, kimsingi inabidi apate hizo taarifa direct from the source yaani SUA administration na sio aokoteze hizo taarifa mtaani kama anavyotaka yeye kurahisisha mambo hata yasiyofaa kurahisishwa.taarifa nyingi watu wanazipata humu humu.