For only sua students

kwani we unasoma sua ndo maana kabla ya kupost kitu unaandika title ili kila mtu ajue sehemu inayomhusu nakushangaa kukomalia mambo yasiyokuhusu kweli umezeeka kama jina lako fu**k u "mzee"

mwambie hy shahibu, hata hajielewi. Kwn timetable z prbtn znahuska kwny biashara, c znahucka na elimu, hy vp huyu, mbna wakuja sna. Chapa lapa @mzee
 
who told u mi nasoma sua!? Thsy nliwaulza wana'udsm(soldarty 4vr). Kwn ht hcho chuo cha dom mnakionaje!?

ucbishane na huyo jamaa,anasoma sua bt anajiona as if anakipga havard au oxford,anadharau vyuo vya wenzake balaa!!
 
mwambie hy shahibu, hata hajielewi. Kwn timetable z prbtn znahuska kwny biashara, c znahucka na elimu, hy vp huyu, mbna wakuja sna. Chapa lapa @mzee

ushamuona jamaa analopoka tu bila kuwa na mpangilio na usije huku we mzee kwani hausomi sua
 
naona una stress za kama utapata job or not kwa hyo degree yako ndo maana unaropoka ka c.h.i.z.i.

kwa mawazo yako upo sahihi. Uliza nimemaliza kozi gani, mwaka gani na niko wapi!! Someni mkafanye sup wadogo zangu.
 
kwa mawazo yako upo sahihi. Uliza nimemaliza kozi gani, mwaka gani na niko wapi!! Someni mkafanye sup wadogo zangu.

acha zngua wa2 wewe..hata ungekua mwezin hakuna m2 anayetaka kujua maisha yako humu,ila ce 2nakuonya ucpende kudharau mawazo ya wenzio,maana we kila thread unayochangia lazma uharibu 2..ebu anza kuact kama graduate bac..ucfanye mambo ya ajabu hadi wa2 wakashusha 'P' yako mkuu.
 

kwa uandishi huu nina wasiwasi na uwezo wako wa darasani. Hicho kimeo ni haki yako. Kwenye tu unawe 2, kwenye si unaweka c. Jifunze kuandika kisomi. Wewe ni msomi.
 
ONDOA SHAKA MKUU WA SUA, ILA KWA UZOEFU KILE CHUO CHA SUA HUWA HAWAWEZI KUBADILI RATIBA YA PROBATION WATAFANYA KAMA MWAKA JANA YALIZUKA MANENO KAMA HAYO, ILA MSIMAMO WAO ULIKUWA PALEPALE KWA HIYO WEWE WAHI TU HIYO trh 10, nadhani 2tamet huko. Prob njema mwana!!
 
kwa mawazo yako upo sahihi. Uliza nimemaliza kozi gani, mwaka gani na niko wapi!! Someni mkafanye sup wadogo zangu.

sup sio kitu cha ajabu mkuu ila kuwa mstaarabu maana we kila post yako ina matatizo shame on you @mzee
 
Haya sasa, watoto wa fesibuku wameingia humu.
Mtu anaomba msaada, mwingine kwa vile amesoma extension mwaka juzi basi anajiona yeye ndo dvc msolla....damn, hivi dvc ni nani siku hiizi?
 
Haya sasa, watoto wa fesibuku wameingia humu.
Mtu anaomba msaada, mwingine kwa vile amesoma extension mwaka juzi basi anajiona yeye ndo dvc msolla....damn, hivi dvc ni nani siku hiizi?

gerald monella.
 
Vijana Tanzagiza bado maana nafikiria jinsi ya maandalizi ya probation.
 
Samahani wakuu naomba kuuliza kama ratiba ya probation exams imetoka maana kwenye website hakuna chochote na nimesikia tetesi kuwa mitihani ni tar 17 sio 10 kama almanac inavyosema please tujulishane
Kijana mambo ya msingi kama hayo sio ya kuyafanyia mzaha. wewe badala ya kuuliza hizo habari SUA unakuja kuuliza JF. Unauhakika gani na unayemuuliza hili swali kuwa ni msuaso???jamani hizi shule za kata hizi zitaliangamiza taifa jamani. Huyu ni graduate mtarajiwa anafanya mambo kibabaishaji hivi.Piga simu chuoni sua upate reliable and first hand information from the horse mouth.
 
taarifa nyingi watu wanazipata humu humu.
You are very right ila kwa taarifa anazozihitaji huyo bwana inabidi awe na uhakika nazo 100%, kimsingi inabidi apate hizo taarifa direct from the source yaani SUA administration na sio aokoteze hizo taarifa mtaani kama anavyotaka yeye kurahisisha mambo hata yasiyofaa kurahisishwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…