For only sua students


ameshasema kwenye website ya sua hakuna taarifa. Sasa afanyaje?
Hata humu anaweza pata taarifa za uhakika.
 

bora umenisaidia kumjibu.
 
Haya sasa, watoto wa fesibuku wameingia humu.
Mtu anaomba msaada, mwingine kwa vile amesoma extension mwaka juzi basi anajiona yeye ndo dvc msolla....damn, hivi dvc ni nani siku hiizi?
i

Duh! Nakumbuka nilisoma SUA wakati DVC ni Prof Msolla na VC akiwa ni Prof Luoga!!! Lakini hadi hapa ninapoandika wala cjui Prof Luoga anafananaje na huyo Msolla mwenyewe nilikuja kumjua wakati akiwa waziri wa jakaya....!!!
 

Ushauri wako ni very constructive ila umeharibu ulipoingiza suala la shule za kata kwenye huo ushauri!! Suala la shule za kata limeingiaje hapo mkuu?! Jamani, hao wanaosoma shule za kata ni ndugu zetu pia ambao hata nao wangependa kusoma shule kama mlizosoma nyinyi!!! Wao ni victim tu wa mfumo na vijimambo vinginevingine na ndio maana wapo walisoma st university gani sijui kule ambao leo hii wanakula mkwanja wao pale TRA na BOT huku wengine wakitoka sijui UDSM university of Agriculture Mzumbe Campus wakiishia kufanya vibarua vya Data Entry pale Infinity Communication!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…