For our sisters and mother!

Nyalotsi

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2011
Posts
6,986
Reaction score
5,058
Kuweni na tabia ya kujikagua matiti kuepukana na matatizo ya advanced breast cancer. Pia toeni elimu kwa mwanamke yeyote unayefahamiana naye kwa wale wanaojua. Coz u may find a breast lump when examining a woman with other medical condition na ukimuliza anasema hajawahi kujigundua. Na usikubali doc akufanyie incision kama hajafanya vpmo vya kutosha. Its so painful meeting a woman with advance breast cancer wakati it z posbl to excise in early stages.
 
Mungu akuzidishie busara na upendo! Amen

nashukuru mkuu.. Nadhani utajitahidi kufanya hivyo. Mkiwa kwenye vikao vyenu, saloon na sehemu zingine,badala ya kupeana habari za unyumba unavyoendelea nyumbani kwako elimishaneni namna ya kucheki uvimbe ndani ya titi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…