Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
Unaweza kuwauliza GearTech (GTP) au Jason Frisby wakifanya mapping wapi wanacheki Kwa Dyno.Sawa mkuu,shukrani.
Thnxs mkuu,kwa sasa niko Mwz nikija mjini ntajaribu kuwatembelea mkuu.Unaweza kuwauliza GearTech (GTP) au Jason Frisby wakifanya mapping wapi wanacheki Kwa Dyno.
Na nadhani Aristo zote zilikuja na auto trans. Niliona huko mtandaoni jamaa wana swapp manual trans. Kutoka kwny Supra,nadhani hio machine itakua balaa.Aristo yenye Automatic Gearbox rahisi kupatikana.
Fujo tu , street racing & show caseMkuu unataka kucheza rally au unataka rally car Kwa ajili ya street racing na kuendesha Kwa burudani.
Na ulikuwa unataka gari ipi na yenye vigezo vipi?
Mkuu Kwa Evo 10 hiyo million 20 hupati, labda Ford Focus ukategee Kule South Africa Ila lazima Kodi utalipa kubwa labda ufanye mipango na wazee wa mjini.Fujo tu , street racing & show case
Napenda gari ambayo pia naweza itumia kwa shughuli zangu za kilasiku na ruti za apa na pale ,,,,
Kama evo10,,, Ford focus rsrx,,,, Ford fiesta,,, Subaru WRX sti impreza,gr ligenc,,, na zenye kufanania izi nyingi nakuta zinaanzi 40m na nikipata chini ya apo nakuta zinaitaji marekebusho ya gharama kinoma
Wazee wa mjini tatizo mzigo unafika ukiwa na mapungufu ya kufa mtu kiasi cha kwamba kiliekasawa kimalilivo staili kua nikipengeleMkuu Kwa Evo 10 hiyo million 20 hupati, labda Ford Focus ukategee Kule South Africa Ila lazima Kodi utalipa kubwa labda ufanye mipango na wazee wa mjini.
Wewe Anza na Subaru Impreza WRX hata matoleo ya miaka ya 2000.
Tafuta Hizi gari kisha ufanyie mapping Toyota Aristo, Toyota Chaser Tourer, Celica used toka Japan unapata kuanzia million 12 hiyo chenji unafanyia mods.Wazee wa mjini tatizo mzigo unafika ukiwa na mapungufu ya kufa mtu kiasi cha kwamba kiliekasawa kimalilivo staili kua nikipengele
Alafu sifa wanazo kupa nalitakapofika nitofauti
Kuna kipindi Toyota Celica ya kawaida Be Forward ilikuwa mpaka usajili ni kama million 12-14.apo nitalazimika kulisafurisha paka Kenya then bongo tena alafu kuna mwana moja ivi chuga aliwai nipigua hesabu ya kuifanyia mds celca ikafika 10m
Awa GTP wapo wapiKuna kipindi Toyota Celica ya kawaida Be Forward ilikuwa mpaka usajili ni kama million 12-14.
Sasa ukipata kama hiyo peleka GTP wafanye mods ukitoa million 5 inafanyiwa mods vizuri ambayo utasumbua mtaani.
Pamoja na transmissionKuna kipindi Toyota Celica ya kawaida Be Forward ilikuwa mpaka usajili ni kama million 12-14.
Sasa ukipata kama hiyo peleka GTP wafanye mods ukitoa million 5 inafanyiwa mods vizuri ambayo utasumbua mtaani.
Wapo Dar es salaam mitaa ya Kijito Nyama.Awa GTP wapo wapi
Bro nimeona kama celca gt-four 1999 ndo itakua nzuri kwangu lakini cjaiona kwenye maduka tulio yazoea SBT,befowardTafuta Hizi gari kisha ufanyie mapping Toyota Aristo, Toyota Chaser Tourer, Celica used toka Japan unapata kuanzia million 12 hiyo chenji unafanyia mods.
Iiii kitu ukipata 4WD, manual inakua very expensive broBro nimeona kama celca gt-four 1999 ndo itakua nzuri kwangu lakini cjaiona kwenye maduka tulio yazoea SBT,befoward
Aristo V300 bei yake haifai huko mtandaoni mkuu.Tafuta Hizi gari kisha ufanyie mapping Toyota Aristo, Toyota Chaser Tourer, Celica used toka Japan unapata kuanzia million 12 hiyo chenji unafanyia mods.
Sio poaAristo V300 bei yake haifai huko mtandaoni mkuu.
kwa perfomance mods hapa bongo watu ninaowaamini ni GTP (otaku map)Ningewapelekea jamaa wanifanyie some few modes then imeisha hio.
Hivi hapa bongo ni wapi kwny dyno mkuu?
all aristo zinakuja na Automatic transmitionAristo yenye Automatic Gearbox rahisi kupatikana.
Mkuu habari ya siku, naona uliadimika Sana jukwaani.all aristo zinakuja na Automatic transmition
ukitaka manual labda ufanye swap which is so expensive since the price of R154 gearbox is another aristo CIF