For sale carrier 30gtn 110 ton chiller units

Tajiri mweusi

Member
Joined
Feb 13, 2012
Posts
61
Reaction score
18
machine ni mpya kabisa ipo sokoni bei ni 65,ooo$ condenser zake ni sealed ipo malawi ila kwa

mtu atakayehitaji baada ya makubaliano italetwa Tanzania nimeambatanisha picha na

catalogue yake hapa kwa anayehitaji awasiliane nami kwa simu numba 0713 691620

NB:
Bei itapungua kutokana na majadiliano na mteja ya usafirishaji na ushuru maana ni mpya. Karibuni
 

Attachments

Post it in zoom tanzania pls, huku ni kwa wasio na kazi sasa tutanunua vp? Halafu pls msiwe mnatuchanganya yaani na wewe unauza mali ya hela nyingi namna hiyo lkn hujui pa kutangazia!!!!! Nsona uliwapa sana shida wslimu wako kwa kushindwa kufuata maelekezo ktk mtihani
 
hongera kwa kumiliki mtandao mkubwa wa jamii forum hapa ni sehemu ya matangazo mkuu, Pole kwa kukosa ajira siye mimi niliyekunyima taratibu punguza hasira zidisha maombi utafanikiwa tu. forum hii ni ya Nafasi za kazi na tender sasa wewe unayesema niondoe sijakuelewa naomba nifahamishe maana wewe uwenda unaelewa zaidi tender hata nyie wa kazi pia mnaomba au?
 
acha ubinafsi wewe kama unaona tangazo halikufai nyamaza haliendani na wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…