Mkuu vitu gani hivyo navyoclaim ndivyo nilivyo..?😅Nyuzi za mshkaji na vitu anavyoclaim kwamba ndivyo alivyo ni vitu viwili tofauti.
Its like tukiwa kijiweni watu wakianzisha mada nawacrush kwakua napenda mada za wachapakazi ila ikifika muda wa mimi kuanzisha mada naanzisha mada za pornography tu.
Hakuna hiki wala kile ni porn mwanzo mwisho.
Asubuhi, mchana jioni nitaongelea porn tu. Na kwakua porn ni uwanja mpana so naweza iongelea kutokea angle mbalimbali.
So ni porn, porn, porn and more porn.
Now replace porn with love and relationships.
Yani nijishitukie kumuita mpenzi wangu tamu yangu..!😂Eti bro hukujishtukia ulipokuwa unaandika neno 'tamu yangu..'
Wenye mapenzi mapya mna kelele sana 😛Never na uache uchawi..
Umemtumia muamala? Au unabembeleza maneno matupuUngejua kanuna nambembeleza sahivi..🤣
Hamna dhambi hapo, kwanza safari ndio imekupeleka huko chumbani na wala sio wewe kabisa so huna kosaNikuulize kitu hivi ukiamka asubuhi ukajikuta umeamkia chumba cha beki tatu ni dhambi..?
NB:
Kumbuka nilikunywa safari lager sio Mimi ni safari..!
Na amekufa ameoza kabisaaaa😂😂Wife material wa fulani huyo..🤣