For you my Valentine ❤️

Balaa juu ya balaa, ngoja wapendanao waje[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Ndg yang ni hatari wengine hatuna hata wa kutusindikiza hospitali kwa dentist aisee it’s kinda of sad, but i am happy
 
Happy Valentine kwa wadada wote wanaoheshimu wapenzi wao, kwa wale wasiotoa invoices, na wale wenye chura
 
Hivi mimi ni mshamba ama? Mbona siku hii hainigusi kabisaaa?yani sihangaiki nayo na sina habari
 
Ndiyo jioni hii najua Kuna hiyo kitu mnaita valentine. Ñdiyo mnafanyafanya wakuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…