Hahahaha ila we jamaa Unaichukia vibaya KenyaMany congratulations to our neighbour for representing well our continent. Kenya and South Africa have got many similarities, namely
1)Crime
2)Slums
3)Tribalism
4) Small segment of people(whites) to large part own land
5) Few people to own GDP, while majority have nothing
I am sure next report Kenya will be above South Africa on this list.
Mimi sina chama chochote, ila nimeguswa na pia kuchukizwa mno na matendo yanayoendelea nchini. Kwahiyo usinilazimishe nikubaliane na wapuuzi wachache wanaodhani Tanzania ni nchi ya amani, kitimoto wewe.Kazi mlionayo tu ni kupinga pinga kila kitu ili muwachonganishe serikali na raia [emoji23][emoji23][emoji23]
Btw niko CDM pia.
Ni watanzania kwa sababu wamezaliwa Tanzania na wamekulia Tanzania na wamepatia mitaji yao Tanzania,
Wakati huko kwenu wamekuja ukubwani alafu wanamiliki mashamba makubwa kubwa yenye rutuba nzuri huku wakilima mazao yasiyo faa kwa chakula na kuwaacha wakenya wengi wakiwa hawana kitu [emoji23][emoji23][emoji23]
Kama Mexico ni ya 11 kuna haja ya kusoma huu utafiti utumbo.
Mkuu, hebu jaribu kuwa "serious" kidogo, watu tunaishi kama "digidigi" kwa hofu na mashaka makubwa kila siku, tukihofia kutekwa na "genge" la wanaojiita wasiojulikana halafu unataka kulazimisha kwamba tuna amani? Shenzi kabisa.Tanzania pia yanatokea ila si ya kiwango cha kiuhalifu kama Kenya na SA. Kule malengo ni kujipatia mali kutokana na hali ngumu kimaisha. Kwa bongo incidence chache zinazotokea kwa kiasi kikubwa zina mlengo kisiasa.
Nchi ni salama, ila sio salama kwa wakumbafu kama wewe wasaliti na wachonganishi wakubwa kazi kuchonganiaha raia na serikali yao [emoji23][emoji23][emoji23]
Kazi kupinga pinga kila kitu,
Sitaki ubishi hapa fanya kutembelea hizo nchi zilizolistiwa alafu ulete mrejesho hapa.
Tunazungumzia nchi ambazo sio salama kuishi duniani, Kenya imeshika nafasi ya 7 ki dunia, na namba 3 Africa.
Kama kuna magenge yana teka, kutesa na kuua watu pasipokujulikana wala kuchukuliwa hatua yeyote ile, utasemaje Tanzania ni nchi salama Mkuu?
Mimi sina chama chochote, ila nimeguswa na pia kuchukizwa mno na matendo yanayoendelea nchini. Kwahiyo usinilazimishe nikubaliane na wapuuzi wachache wanaodhani Tanzania ni nchi ya amani, kitimoto wewe.
Mkuu, hebu jaribu kuwa "serious" kidogo, watu tunaishi kama "digidigi" kwa hofu na mashaka makubwa kila siku, tukihofia kutekwa na "genge" la wanaojiita wasiojulikana halafu unataka kulazimisha kwamba tuna amani? Shenzi kabisa.
Unadungwa sindano na mwenzako...imekuingia mpka unajitia kicheko...kwn unataka aunge mpka juhudi za kutekana..kweli ccm imekuathiri[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahahahhahahahahahahah kaka naona km kuna jirani umemlenga.Ranked: The 20 Most Dangerous Places to Live via forbes http://www.forbes.com/sites/laurabegleybloom/2019/09/05/20-most-dangerous-places-to-live-2019/
Siwezi dungwa na wakumbafu kama wewe
As usual past stories.
Mkuu, hebu jaribu kuwa "serious" kidogo, watu tunaishi kama "digidigi" kwa hofu na mashaka makubwa kila siku, tukihofia kutekwa na "genge" la wanaojiita wasiojulikana halafu unataka kulazimisha kwamba tuna amani? Shenzi kabisa.