FORBES: 20 most dangerous place to live

Kwa hiyo nchi ni salama kwa sababu machafuko yamesababishwa na vita?

Machafuko yaliyosababishwa na vita hayaui?
Unajionaga umeerevuka sana bwana kiranga. Naona wewe ni mtaalam zaidi ya forbes, haya watumie e mail waambie wamekengeuka, waweke Tz, syria, somalia, sudan kusini, iraq, afghanistan na zinginezo uonazo zinafaa kuwepo.
 
Unajionaga umeerevuka sana bwana kiranga. Naona wewe ni mtaalam zaidi ya forbes, haya watumie e mail waambie wamekengeuka, waweke Tz, syria, somalia, sudan kusini, iraq, afghanistan na zinginezo uonazo zinafaa kuwepo.

Inferiority complex.

Hujajibu nilichoandika na ulichoandika sijakuuliza.
 
Four African Countries
1. South Africa [emoji1221] _$371b
2. Nigeria [emoji1184] _$444b
3. Kenya [emoji1139]_ $100b
4. Egypt [emoji1093]_$297b

5.Tanzagiza 🇹🇿 _$61b with a population 60million
Thanks LDC
 
Inferiority complex.

Hujajibu nilichoandika na ulichoandika sijakuuliza.
Nikujibu nn sasa, mm sijandaa hiyo list. Nishakwambia ni forbes. What i did is enligthen your know it all attitude, that there's no war torn countries there, inamaana hilo halikuwa concerned na forbes wakati wanaandaa hiyo, if you want to correct them, i told you to email them mr know it all.
And sina inferiority complex yeyote, its your know it all attitude that's deceiving ye
 
Forbes is not infallible.

Why are you touting their name like it is supposed to be infallible?

Is Syria not a country?
 
Achana na hao wakenya hawana akili.
 
Unaedit ili iweje, ila shida ni hii video hapa chini,
Moderator piga ndani watu kawa hawa wanaoedit commment za watu.

Wewe huoni hizo Nchi ametaja ndizo Zi aingoza uchumi Kanda zao hapa Afrika Yani; Mashariki - Kenya(EAC)
Magharibi - Nigeria(Ecowas)
Kusini - South Africa(SADC)
Kaskazini - Egypt (Comesa)

😂😂😂😂
Tanzania beggars of Africa
 
Endelea kuona vizuri [emoji23][emoji23][emoji23] sisi Hatutaki uchumi wa kwenye makaratasi hapa.
Niliona projections za IMF in year 2023 inaonyesha GDP ya Tzed itakuwa tu $78bn meaning Tz itaongeza $17bn pekee in 5yrs while Kenya GDP in 2023 will have added $41bn.

With population growth it means Tz will be poorer or just stagnant to 2023.
 
We mwehu hzo inchi ni vita zao wenyew kwa wenyew wageni ama watalii hawaguswi kama nchi za kwenye hyo orodha
Mwehu ni nyanyako mzaa mamako


Achana na nchi zilosababishiwa machafuko na vita, hao ni Forbes wanaosemaga Kenya mna uchumi mkubwa, naona unawapangia Leo nchi za kuwepo hapo badala ya Kenya. [emoji23]
Baada na kutafuta hio tovuti Internation nimeona kumbe hata wamechagua a few select countries ambazo zinajulikana ulimwenguni na zenye ziko na Uchumi mkubwa, Nchi ndogo ndogo hazijahesabiwa!!! hii ranking imefanywa kwa nchi 64 pekee, Tanzania haiko miongoni mwa hizo 64 countries..


Alafu Forbes nao wakachukua hio ranking na kufanya sampling yao ya Nchi kadhaa.... Ukiangalia ripoti yenyewe Kenya iko number 36 Overal ranking, eti imeshinda hata kina UK, South Korea.. etc Kuna category nyingi zimetumika kufanya hio overal Raking, lakini Forbes walichagua hio category ya Safety and Security pekee.
Kama unavyoona, nchi kama Tz haiko!




Hio category ya safety and security ndo imetuharibia, bila hio tungekua tulikua top 15 kwa overal ranking







Hata licha ya hivyo, haijalishi, tuko miongoni mwa most improved countries kwa hio ranking, tumeruka nchi 15 ukilinganisha na ranking ya 2018!





Soource https://cms-internationsgmbh.netdna...at-Insider-2019_The-InterNations-Survey_0.pdf
 
Umesema ni ndugu zako Jamaa na marafiki, niletee tafadhali hao ndugu zako jamaa na marafiki,
Unaambiwa usipite hapa wewe unapita si ukumbafu huo,
Tembelea hizo nchi zilizotolewa hapo juu alafu ukirudi anzisha uzi humu.
Nikuletee wewe ni nani? Hebu acha ujinga wako hapa aisee. Nenda ukamlete kwanza Ben Saa nane huko alipo. Sawa sawa?
 

Ni vizuri ungeweka actual numbers from credible sources to back up!

Sometimes tuna exaggerate sana!
 
Forbes is not infallible.

Why are you touting their name like it is supposed to be infallible?

Is Syria not a country?
Wewe jamaa tangu nikufuatilie na kukuona sura yako na maisha yako halisi, nilikuona unavimba kwenye mitandao kumbe nyambafu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…