FORBES: 20 most dangerous place to live

Super power!! [emoji23][emoji23][emoji23] south Africans ni matajiri on papers tu, utajir wao ni wa wageni na wazungu ila wenyeji ni maskini kama wew, kazi yao ni kubaka wanawake zao na kuua foreigners, same thing to kenya, mali na majengo mazur ni wageni tu na mabeberu, miundombinu kama sgr na lamu znamilikiwa na china wenyeji wanakula vinyesi kibera na wengine wanaugua utaahira. Therefore wakenya hawana tofauti na wasauzi nyote wavivu na wakabaji,
And yet they're the super powers of Africa
 
Wewe jamaa tangu nikufuatilie na kukuona sura yako na maisha yako halisi, nilikuona unavimba kwenye mitandao kumbe nyambafu tu.

Because you are following my private life that much, you must be a fan or someone with a very boring life.

Pia. Sina tabia ya kuongelea watu, naongelea hoja.

Small minds discuss people, average minds discuss events, great minds discuss ideas.

Twende kwenye hoja.

Hujathibitisha. Unazusha tu.

Twende point kwa point kuhusu hoja zangu.

Inawezekana mimi nyambafu.

Lakini wewe kusema mimi nyambafu bila kuonesha nyambafu wapi, kivipi wewe unakuwa nyambafu zaidi yangu.
 
Xenophobia, in addition
 
Message umeshaipata. Acha kutapatapa.
 
Kenya usipouliwa na mungiki unauliwa na njaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…