Haya list nimeshaimalizia..vipi mtizamo wako kwa wanaija kuwa na wawakilishi zaidi ya 1/4
Vigezo vipi wametumia hawa watu? Ni mhimu kutuambia vigezo na ni celebrities kwenye nyanja zipi, maana hapa tunaona wanamichezo ndo wengi na wanamuziki, hakuna mwanasiasa hata mmoja.. kuna kina Mandela, Idd Amin, JK Original, Oriver Tambo, Desmund Tutu, Kwame Nkurumah n.k. Narudia tena swali langu, vigezo vpvimetumika na je, vililenga watu walio kwenye nyanja zp?
1.Chinua Achebe,Nigerian novelist
2.Youssou N'dour,Senegal musician
3.Didier Drogba,Ivorian footballer
4.Angelique Kidjo,Benin musician
5.Akon,Senegalese musian
6.Wole Soyinka,Nigerian playwriter
7.Salif Keita,Mali musician
8.Yvone Chaka Chaka,south africa musian
9.Oumou Sangare 43,mali musician
10.Femi Kuti 43,Nigerian musician
11.Toumani Diabate,Mallian musician
12.Oliver Ntukudzi 59,zimbabwe
13.Haile Gebrselassie 38,Ethiopian athlette
14.Khalid Hadj Ibrahim 51,Algerian footballer
15.Samuel Etoo30,Cameron footballer
16.Alek Wek 34,Sudanese supermodel
17.Liya Kebede33, Ethiopian supermodel
18.Dobet Gnahore 29,Ivorian musician
19.Genevieve Nnaji 32,Nigerian actress
20.Koffi Olomide 55,congolese musician
21.Neill Blomkamp 32,South African movie director
22.Souad Massh. 39,Algerian musician
23.Baaba Maal 58,Senegalese musician
24.Hugh Masekela 72,South African musician
25.K'naan
26.Amadou and mariam,malian musicians
27.Awilo Longomba,congolese musicians
28.Eric Wainaina 38,Kenyan musician
29.Binyavanga Wainaina,40Kenyan aurthor
30.Ngugi wa thiongo 73,Kenyan aurthor
31.Freshlyground,South Africa musician
32.Chimamanda Adichie,34 Nigerian writer
33.Rokia Traore 37,malian musician
34.2face Idibia 36,Nigerian musician
35.P square,29 Nigerian musician
36.Don Jazzy,30 Nigerian music producer
37.Dbanj 31,Nigerian musician
38.Nneka 31,Nigerian musician
39.Asa 29, Nigerian musician
40.Patricia Amira 33,Kenyan tv personality
the ubs rogue trader (london se)
osi umenyiora (nfl dt)
macdonald mariga, (inter milan midfielder)
josef addai, (nfl rb)
jerry azuma, (nfl)
hakeem olajuwon (nba legend and the greatest center of all time)
charlize theron (holywood star)
ratif goosen (pga player)
rory sabatini (pga player)
weuiihuizen (pga player)
brian orakpo (nfl dt)
kenichi udeze (nfl)
nnamdi asomugha (nfl cb)
mr moshiri (atlanta up and coming tycoon)
frank macha (gm oakland a's) mlb
aisha ceesay (cnn anchor)
mathias kiwanuka (nfl)
ali velshi (cnn senior/all street correspondent)
faiza foxx (jf senior member)
Unazungumzia Celebrity wa Tz hivi hujui kwamba hata list ya nchi zilizopo duniani, Tanzania inaweza kusahaulika maana nakumbuka kuna kipindi nilikuwa napiga story Club nikiwa Indonesia jamaa akaniuliza origin yangu nikamuambia natoka Tz akaniuliza ipo wapi? nikajibu ipo East Africa akasema ooook!! how is Nairobi by the way? ilini-embarrass moyoniHii list wamejaa wa west africa, wa south na kenya kidogo!
Upuuzi mtupu!
Mbona hakuna wabongo, wakina ally kiba, Prof J, AY, Kanumba, Ray, Hassanali, Rhemtullah, Jerry Muro, Aunt Ezekiel and such?!
Sawa, labda hawana mahela kama hao, ila wana iinfluence kubwa hapa nchini kwetu!
Hawakukumbuka hata kuwaweka watu wa taasisi za jamii, wanaopigania haki zetu wabongo?!
Mie siikubali hio list hata kidogo!
Mange,Makambas,Ruge mbona hawapo? Forbes fake sana
Unazungumzia Celebrity wa Tz hivi hujui kwamba hata list ya nchi zilizopo duniani, Tanzania inaweza kusahaulika maana nakumbuka kuna kipindi nilikuwa napiga story Club nikiwa Indonesia jamaa akaniuliza origin yangu nikamuambia natoka Tz akaniuliza ipo wapi? nikajibu ipo East Africa akasema ooook!! how is Nairobi by the way? ilini-embarrass moyoni