Ndiyo mkuu..Hivi TMT ya Mayweza ndio Wakurugenzi wakuu walikuwa ONTARIO ,Habibu Pamoja na Hanifa?
Ndio alikuwa sahihi kabisa!Huyu si ndiye aliyesema hatosaidia nchi za Africa coz hazina msaada wowote kwenye mafanikio yake!!
Tena ilikua live interview.
Huyu si ndiye aliyesema hatosaidia nchi za Africa coz hazina msaada wowote kwenye mafanikio yake!!
Tena ilikua live interview.
una mpa baraka pasipo kujua.nakapa tena miaka 5 numberz dont lie katafulia tu
Ndiyo maana anakuwa chizina matumizi yote yale huyo nigga bado anaongoza
wezi wa jina/brand..Hivi TMT ya Mayweza ndio Wakurugenzi wakuu walikuwa ONTARIO ,Habibu Pamoja na Hanifa?