Forbes :Mo Dewij Ndiyo Billionaire East Africa

Nimeona wameandika ana Trillion 3.something..

Nadhani hawakumsikia yule mwanaume aliyesema mahakamani kuwa Standard chartered walimtapeli Trillion 12..

Na ukiona mtu katapeliwa milioni moja ujue ana nyingi zaidi ya hiyo. So kama alitapeliwa Trillion 12 unadhani alikuwa na shingapi.??
 
Trillion 12 za USh?
 
Sasa uturuki wameshika pia meli yenu due to explosives, what's up with Tanzanian registered ships

 
Sasa uturuki wameshika pia meli yenu due to explosives, what's up with Tanzanian registered ships


Mara ndege bombandia imekamatwa, mara meli imekamatwa.
 
Mara ndege bombandia imekamatwa, mara meli imekamatwa.
Kwenye meli hapo kuna mchezo tutakuwa tunachezewa nahisi, watanzania hawajafikia kiwango hicho cha kufanya uhalifu kila siku tena kwa kutumia meli.

Soon tutasikia kilicho nyuma ya pazia
 
Nilifikiri nasibu ndo bilionea kama una uwezo wa kununua nyumba ya bilioni bas watu wote wa instagram wanaajua na top 20 za milad ayo unaingia
 
I was thinking competition influences efficiency. For you nyang'au means, pulling one another down.
How comes you are not in the MIC status if at all your statement above is true?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…