So not getting food donations leads to an LDC status? Wacha hizo donations zije kwa wingi bora tuepuke LDC status.UAE donates 150 tonnes of food for the hungry in drought-stricken areas
Because we don't get food donations
Labda kuongoza Kwenye sekta ya umbeya vijiweni na viroba.Hata idadi ya wajasiliamali vijana tunaongoza hapa East africa na central.
The day when we start getting food donation from all over the world, the day when we will be categorised as one of the country with severe hunger like Somalia, South Sudan, DRC, Central Africa Republic, Kenya and Yemen, that is the day we will be happy to be named as Lower middle income country[emoji1] [emoji1] [emoji1]So not getting food donations leads to an LDC status? Wacha hizo donations zije kwa wingi bora tuepuke LDC status.
Mwenzio nilimpa link na ujanja wake akatoroka uzi! We naona njaa inakuathiri!Labda kuongoza Kwenye sekta ya umbeya vijiweni na viroba.
Hii ni aibu haki yaani Kenya yenye kelele nyingi kusaidiwa chakula na desert countryUAE donates 150 tonnes of food for the hungry in drought-stricken areas
Because we don't get food donations
Source ??Tufanye hesabu kidogo, Tanzania iko na one billionaire net worth $1.6B alafu iko na 2,400 millionaires, lets assume kila millionaires ako na $1m tu, that will be total net worth of $2.4B making all the wealthy people in Tz have a net worth of $4B.
On the other hand Kenya has 9,400 dollar millionaires, that's at least $9.4B
Sasa ni nchi gani ndo iko na utajiri kati yahizo mbili
Acha hizo, kubali kwamba hamna billionaire, utajiri wa Kenyatta family ni $500M, hajamfikia hata Reginald Mengi ambayebanashika namba nne huku Tanzania an $650M.Sidhani kama Mo ni tajiri kushinda Uhuru kenyatta ama moi pia biwott.
labda juu ni wanasiasa mali yao waliipata through corruption.
Japo huu mjadala wa kujisifia matajiri ndani ya nchi masikini ni mjadala nisioupenda kwa sababu ni mjadala wa kijinga sana, lakini kwa ujumla Tanzania utajiri wa matajiri ni mkubwa zaidi ya matajiri wa Kenya, MO ana 1.6B, Rostam Aziz ana $900M, hawa wawili pekee wana jumla ya $2.5B, hii ni sawa na jumla ya top five richest people wa huko Kenya.Tufanye hesabu kidogo, Tanzania iko na one billionaire net worth $1.6B alafu iko na 2,400 millionaires, lets assume kila millionaires ako na $1m tu, that will be total net worth of $2.4B making all the wealthy people in Tz have a net worth of $4B.
On the other hand Kenya has 9,400 dollar millionaires, that's at least $9.4B
Sasa ni nchi gani ndo iko na utajiri kati yahizo mbili
Unaongea tu....hawa wanasiasa wameiba pesa mob sana,,,euro bond pekee ni over $2b.Acha hizo, kubali kwamba hamna billionaire, utajiri wa Kenyatta family ni $500M, hajamfikia hata Reginald Mengi ambayebanashika namba nne huku Tanzania an $650M.
Sasa wewe unataka kuzungumza vitu visivyokua na ushahidi, ni vitu vya kufikirika, Forbes ndiyo kazi zao kufuatilia hayo mambo, wao walitoa hizi taarifa hata kabla ya Kenyatta kuwa rais wa Kenya, na mali za Uhuru zinahesabika katika kundi la Kenyatta family, sasa ukitaka kila mtu azungumze vile anavyofikiria yeye bila ushahidi, tutaanza kudanganyana.Unaongea tu....hawa wanasiasa wameiba pesa mob sana,,,euro bond pekee ni over $2b.
Ata yule rais wa libya alipokuwa mali yake ilikuwa zaidi ya Bill Gate kwa mbali sana.
Inategemea na mambo mengine broHow comes you are not in the MIC status if at all your statement above is true?
assume ya uongo [emoji23][emoji23]Tufanye hesabu kidogo, Tanzania iko na one billionaire net worth $1.6B alafu iko na 2,400 millionaires, lets assume kila millionaires ako na $1m tu, that will be total net worth of $2.4B making all the wealthy people in Tz have a net worth of $4B.
On the other hand Kenya has 9,400 dollar millionaires, that's at least $9.4B
Sasa ni nchi gani ndo iko na utajiri kati yahizo mbili
Mambo magani kama sio umasikini inawazuia?Inategemea na mambo mengine bro
Nyie matajiri?Mambo magani kama sio umasikini inawazuia?