Kamati ya roho mbaya lazima watapinga pamoja na mijinga ya Jubilee
You have the biggest reserve of gold ( second to Ghana)
The biggest reserve of uranium in Africa
Biggest reserves of graphites in Africa
Gas , Oil ,tonnes of copper,Billions tonnes of coal and iron ore
instead The report should have read
'50 years of wasted opportunities and plunder of resources'
Hakuna unalolijua.....JPM is for sure touching the life of the normal citizens....Magufuli's prescription for Tz's prosperity is misguided though.True prosperity has to be all inclusive growth not just government led mega projects that he's passionate about.Any prosperity that doesn't include an expanding middle class is unsustainable.
Hali mbaya kwakoSo what? Hata wakiandika Washington post, New york time sijui juene afrique ukweli unabaki palepale, hali ni mbaya sana.
Hali mbaya kwako
Sie wengine mambo yetu shwaaaaariii
Sasa kati ya kenya na bongo IPI INA masikini wengi...?Basi mna nn zaidi ya billionaire mmoja na wengine wakiachwa maskini...yani watu wengi bongo level zao ni za umaskini...ndio manake unakuta middle class ni ndogo km piriton
Bongo...tena mnaongoza katika ukanda wote huuSasa kati ya kenya na bongo IPI INA masikini wengi...?
Maskini...,Wakenya maskini ni chokambaya kwelikweli...national cake ya wachache ila mliobaki kha!!!Bongo...tena mnaongoza katika ukanda wote huu
Sasa unapiga domo na mnaongoza kwa umaskini katika ukanda huu....ama nikuletee takwimu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Maskini...,Wakenya maskini ni chokambaya kwelikweli...national cake ya wachache ila mliobaki kha!!!
[emoji81][emoji81][emoji81] we nyang'au kweli ww...kwan si tunawaona hali zenu...Hapo hapo Nairobi kuna masikini wa kutupwa wanashindia a single meal per day...sipati picha huko north hali ipoje....poleni na njaa ila majirani [emoji75][emoji75][emoji75]Sasa unapiga domo na mnaongoza kwa umaskini katika ukanda huu....ama nikuletee takwimu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Za makaratasi tyuu ila in reality tz hakuna njaa km kenyaSasa unapiga domo na mnaongoza kwa umaskini katika ukanda huu....ama nikuletee takwimu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwhyo unapinga km tanzania ndio kuna maskini wengi ukanda huu wetu...T[emoji81][emoji81][emoji81] we nyang'au kweli ww...kwan si tunawaona hali zenu...Hapo hapo Nairobi kuna masikini wa kutupwa wanashindia a single meal per day...sipati picha huko north hali ipoje....poleni na njaa ila majirani [emoji75][emoji75][emoji75]
Niletee jamaa akifa njaa hko north kw sasa....ukame umeisha baba...kumbe mnaposema kenya maskini wa kutupwa north kumbe mnajifariji na northern kenya wakati wa ukame....duh!!kumbe watanzania ni ni balaa[emoji1784][emoji1784][emoji1784][emoji1784][emoji1784]T[emoji81][emoji81][emoji81] we nyang'au kweli ww...kwan si tunawaona hali zenu...Hapo hapo Nairobi kuna masikini wa kutupwa wanashindia a single meal per day...sipati picha huko north hali ipoje....poleni na njaa ila majirani [emoji75][emoji75][emoji75]
Hahahahaha, ukame umeisha?. 75% ya Kenya ni jangwa, nalo limeisha?. Tangu mumepata Uhuru wenu wakenya hutegemea chakula cha msaada, kila mwaka lazima wakenya wanakufa kwa njaa, hakuna hata mwaka mmoja ambao Kenya haijakumbwa na njaa, ukiona watu wameacha kufa, ni kwasababu ya chakula cha msaada kimefika.Niletee jamaa akifa njaa hko north kw sasa....ukame umeisha baba...kumbe mnaposema kenya maskini wa kutupwa north kumbe mnajifariji na northern kenya wakati wa ukame....duh!!kumbe watanzania ni ni balaa[emoji1784][emoji1784][emoji1784][emoji1784][emoji1784]
Bwahahahaa!!!floods in turkana!!CNN watangaze hii pia...turkana kwanyesha buda...dua yako kaitupie hko njombe kwa wala watoto...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...Hahahahaha, ukame umeisha?. 75% ya Kenya ni jangwa, nalo limeisha?. Tangu mumepata Uhuru wenu wakenya hutegemea chakula cha msaada, kila mwaka lazima wakenya wanakufa kwa njaa, hakuna hata mwaka mmoja ambao Kenya haijakumbwa na njaa, ukiona watu wameacha kufa, ni kwasababu ya chakula cha msaada kimefika.
Hahahhh North wapi mbali sana huko hapohapo tu Nairobi kuna masikiniNiletee jamaa akifa njaa hko north kw sasa....ukame umeisha baba...kumbe mnaposema kenya maskini wa kutupwa north kumbe mnajifariji na northern kenya wakati wa ukame....duh!!kumbe watanzania ni ni balaa[emoji1784][emoji1784][emoji1784][emoji1784][emoji1784]
Kweli kabisa...kila mwaka pindi ukame unapokuja lazima wafugaji wateseke ju mimea hufa na vyakula vyao wanavyovitegemea hko mwituni hukauka pia...we are not in denial...mvua inaponyesha wafugaji wanadunda na mifugo yao km kawaida....Hahahahaha, ukame umeisha?. 75% ya Kenya ni jangwa, nalo limeisha?. Tangu mumepata Uhuru wenu wakenya hutegemea chakula cha msaada, kila mwaka lazima wakenya wanakufa kwa njaa, hakuna hata mwaka mmoja ambao Kenya haijakumbwa na njaa, ukiona watu wameacha kufa, ni kwasababu ya chakula cha msaada kimefika.
Hao watu unao wataja wanalipia umeme na kodi...una lingine....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahahhh North wapi mbali sana huko hapohapo tu Nairobi kuna masikini
wa kutupwa....watu wanaishi kwenye vibanda vimejengwa kwa mabati hata Milo mitatu hawawezi afford... Halafu mnakuja kujisifia na GDP inawasaidia nn masikini hiyo GDP... Life's too tough for the majority in Kenya dooh!!!