Kuna vitu nilivyojifunza;
1. Familia ilikua na imani nae, ( haikusita kumpa mtaji kila pale alipotaka kuanzisha mradi)
2. Ni mtu wa kuangalia fursa zilizopo, ( alianza na vocha sababu ya ugumu wa upatikanaji wake, akahamia katika sola kutoka na upungufu wa nishati kwa nchi).
3. Kaenda kusomea masomo yanayoendana na malengo aliyokua nayo ( solar energy). Kitu ambacho watanzania wengi hatuna, tunasoma kwa mikumbo mara IT, Accounts, i.e bila kujua malengo yetu baadae.
4. Alikua na ndoto ya kujitegemea tangu mwanzoni. Ni kitu cha kujifunza alikua na nia na akawa anaonyesha uthubutu.