Uncle Elroy
JF-Expert Member
- May 22, 2016
- 1,177
- 1,090
Marekani ni nchi tajiri zaidi duniani. Marekani inadeni kubwa kuliko nchi yoyote duniani.hakuna kitu hapo.
Kuna mmoja namfaham, ana maden mpk ofisin hakai
Ndio kawaida yetu wabongo. Don't Hate, be inspired.hakuna kitu hapo.
Kuna mmoja namfaham, ana maden mpk ofisin hakai
Ushawishi wa kijasiriamali ndugu.Simkubali Makonda ila wote hakuna anaemzidi Makonda kwa ushawishi. Hiyo list haina ukweli wowote.
hiyo ni mpya kwangu kumbe diamond ashawahi oaDiamond kaanzisha kuvaa crazy sasa vijana wote wanavaa, kaanzisha kuoa nchi jirani naona nchi nzima watu wanaoa nje tu, kaanzisha kushoot video kwa godfather tz ikahamia huko,
zari hakua mke wa mondi??hiyo ni mpya kwangu kumbe diamond ashawahi oa
Kwa ndoa ipi? Kanisani, msikitini au bomani?zari hakua mke wa mondi??
We jamaa acha uongo zari amezaa na diamond au mke wake? Km ni hivo bas hata zamaradi mketema ni mke wa rugezari hakua mke wa mondi??