Force Account: Darasa laporomoka Same, lajeruhi 30

Force Account: Darasa laporomoka Same, lajeruhi 30

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
millardayo_a60d2b2aa8534d76a0ad5fc7153ab0cd.jpg

millardayo_87586b7fde804f1793b45dcc73d99f50.jpg


Wanafunzi 30 pamoja na Mwalimu mmoja wa Shule ya Sekondari, Tumaini Jema, iliyopo Wilayani Same Mkoani Kilimanjaro, wamenusurika kifo baada ya jengo moja la darasa walilokuwa wakisomea kuanguka kutokana na upepo mkali.

Wanafunzi hao pamoja na Mwalimu wanaendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Wilaya ya Same, ambapo hali zao zinaendelea kuimarika ambapo kutokana na tukio hilo, Mkuu wa Wilaya ya Same, Kasilda Mgeni, akiambatana na Kamati ya Usalama ya wilaya, amefika katika Shule hiyo na kusimamisha shughuli zote za masomo kwa muda wa siku saba ili kupisha uchunguzi wa kina wa kubaini chanzo cha kuanguka kwa jengo hilo.

Ameagiza Jeshi la Polisi, TAKUKURU, pamoja na Wataalamu wa ujenzi wa Halmashauri kufanya uchunguzi wa ajali hiyo na pia kukagua ubora wa majengo mengine Shuleni hapo “Kwa wiki hii yote, nawaombeni msitishe shughuli za masomo hapa Shuleni ili kupisha uchunguzi wa kina kuhusu ubora wa majengo haya”

Jeshi la Polisi, TAKUKURU, pamoja na Wataalamu wa ujenzi wa Halmashauri fanyeni uchunguzi ili tujiridhishe na usalama wa majengo haya, kama itabainika kuwa yapo chini ya kiwango, italazimika kubomolewa ili kulinda usalama wa Wanafunzi wetu,”

Mkuu wa Wilaya amewatembelea pia Wanafunzi na Mwalimu waliolazwa Hospitalini kwa ajili ya matibabu, ambapo amewajulia hali na kuwapa pole kutokana na tukio
 
Sometimes mtawalaumu mafundi pengine gharama za uendeshaji ziko juu malipo ni kiduchu na pengine yanachelewa mno..hivi unataraji local fundi afanye nn zaidi ya kuchakachua?Local fundi tenda anaitaka kapesa kaduchu anajibana katk materials ili akamilishe ujenzi. maskini jengo limeshuka Mungu mkubwa hakuna maafa.. ila amepata hasara na kuharibu jina kabisa..
 
Wanafunzi 30 pamoja na Mwalimu mmoja wa Shule ya Sekondari, Tumaini Jema, iliyopo Wilayani Same Mkoani Kilimanjaro, wamenusurika kifo baada ya jengo moja la darasa walilokuwa wakisomea kuanguka kutokana na upepo mkali.

Wanafunzi hao pamoja na Mwalimu wanaendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Wilaya ya Same, ambapo hali zao zinaendelea kuimarika ambapo kutokana na tukio hilo, Mkuu wa Wilaya ya Same, Kasilda Mgeni, akiambatana na Kamati ya Usalama ya wilaya, amefika katika Shule hiyo na kusimamisha shughuli zote za masomo kwa muda wa siku saba ili kupisha uchunguzi wa kina wa kubaini chanzo cha kuanguka kwa jengo hilo.

Ameagiza Jeshi la Polisi, TAKUKURU, pamoja na Wataalamu wa ujenzi wa Halmashauri kufanya uchunguzi wa ajali hiyo na pia kukagua ubora wa majengo mengine Shuleni hapo “Kwa wiki hii yote, nawaombeni msitishe shughuli za masomo hapa Shuleni ili kupisha uchunguzi wa kina kuhusu ubora wa majengo haya”

Jeshi la Polisi, TAKUKURU, pamoja na Wataalamu wa ujenzi wa Halmashauri fanyeni uchunguzi ili tujiridhishe na usalama wa majengo haya, kama itabainika kuwa yapo chini ya kiwango, italazimika kubomolewa ili kulinda usalama wa Wanafunzi wetu,”

Mkuu wa Wilaya amewatembelea pia Wanafunzi na Mwalimu waliolazwa Hospitalini kwa ajili ya matibabu, ambapo amewajulia hali na kuwapa pole kutokana na tukio
Watu washaongeza sifuli, wakapiga mshindo wamesepa, wamejenga jengo la Milioni 10, zilizobaki 20 watu wametafuna.
 
Samia anatuhujumu kutujengea miradi dhaifu kama anavyotujengea mradi dhaifu wa mwendokasi
 
Wanafunzi 30 pamoja na Mwalimu mmoja wa Shule ya Sekondari, Tumaini Jema, iliyopo Wilayani Same Mkoani Kilimanjaro, wamenusurika kifo baada ya jengo moja la darasa walilokuwa wakisomea kuanguka kutokana na upepo mkali.

Wanafunzi hao pamoja na Mwalimu wanaendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Wilaya ya Same, ambapo hali zao zinaendelea kuimarika ambapo kutokana na tukio hilo, Mkuu wa Wilaya ya Same, Kasilda Mgeni, akiambatana na Kamati ya Usalama ya wilaya, amefika katika Shule hiyo na kusimamisha shughuli zote za masomo kwa muda wa siku saba ili kupisha uchunguzi wa kina wa kubaini chanzo cha kuanguka kwa jengo hilo.

Ameagiza Jeshi la Polisi, TAKUKURU, pamoja na Wataalamu wa ujenzi wa Halmashauri kufanya uchunguzi wa ajali hiyo na pia kukagua ubora wa majengo mengine Shuleni hapo “Kwa wiki hii yote, nawaombeni msitishe shughuli za masomo hapa Shuleni ili kupisha uchunguzi wa kina kuhusu ubora wa majengo haya”

Jeshi la Polisi, TAKUKURU, pamoja na Wataalamu wa ujenzi wa Halmashauri fanyeni uchunguzi ili tujiridhishe na usalama wa majengo haya, kama itabainika kuwa yapo chini ya kiwango, italazimika kubomolewa ili kulinda usalama wa Wanafunzi wetu,”

Mkuu wa Wilaya amewatembelea pia Wanafunzi na Mwalimu waliolazwa Hospitalini kwa ajili ya matibabu, ambapo amewajulia hali na kuwapa pole kutokana na tukio
Wakati mwingine picha ni muhimu Sanaa.

Pole nyingi Sana kwa wanafunzi na walimu na wotee walio guswa na hili
Dhahama.
 
Wanafunzi 30 pamoja na Mwalimu mmoja wa Shule ya Sekondari, Tumaini Jema, iliyopo Wilayani Same Mkoani Kilimanjaro, wamenusurika kifo baada ya jengo moja la darasa walilokuwa wakisomea kuanguka kutokana na upepo mkali.

Wanafunzi hao pamoja na Mwalimu wanaendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Wilaya ya Same, ambapo hali zao zinaendelea kuimarika ambapo kutokana na tukio hilo, Mkuu wa Wilaya ya Same, Kasilda Mgeni, akiambatana na Kamati ya Usalama ya wilaya, amefika katika Shule hiyo na kusimamisha shughuli zote za masomo kwa muda wa siku saba ili kupisha uchunguzi wa kina wa kubaini chanzo cha kuanguka kwa jengo hilo.

Ameagiza Jeshi la Polisi, TAKUKURU, pamoja na Wataalamu wa ujenzi wa Halmashauri kufanya uchunguzi wa ajali hiyo na pia kukagua ubora wa majengo mengine Shuleni hapo “Kwa wiki hii yote, nawaombeni msitishe shughuli za masomo hapa Shuleni ili kupisha uchunguzi wa kina kuhusu ubora wa majengo haya”

Jeshi la Polisi, TAKUKURU, pamoja na Wataalamu wa ujenzi wa Halmashauri fanyeni uchunguzi ili tujiridhishe na usalama wa majengo haya, kama itabainika kuwa yapo chini ya kiwango, italazimika kubomolewa ili kulinda usalama wa Wanafunzi wetu,”

Mkuu wa Wilaya amewatembelea pia Wanafunzi na Mwalimu waliolazwa Hospitalini kwa ajili ya matibabu, ambapo amewajulia hali na kuwapa pole kutokana na tukio
Haya ni Matunda machungu yatokanayo na kuwepo kwa ubabaishaji kwenye suala nyeti la Utawala wa nchi.

Majengo ya shule yaliyojengwa na Wakoloni mwanzoni mwa miaka ya 1900's bado yapo imara kabisa huku majengo yaliyojengwa katika nyakati za Utawala uliopo katika miaka ya hivi karibuni ya 2000's tayari yameharibika na kuporomoka na kuhatarisha Usalama wa watu na mali zao.
 
Back
Top Bottom