Foreign certificate!!

wa watu

Member
Joined
Aug 14, 2013
Posts
81
Reaction score
11
jamani wana jf wenzangu naomba mnijuze zaidi eti mwaka huu tcu wamechukua hata wale wasio na credit pass yaani (C3) za o~level hasa waliosoma nje ya nchi na kupewa udahili wa kozi mbalimbali hapa nchini,..natanguliza heshima kubwa kunako hili!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…