Kafrican
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 7,251
- 7,037
Juzi juzi chama cha ODM kilichukua msimamo rasmi na kutangaza kwamba kinasikitishwa na matukio yaliofanyika Uganda kwa mwanasiasa Bobi Wine.
Sasa kuna hii habari iliotokea inayosema Raila amehusika kuwapa mawaidha chama cha upinzani cha Zimbabwe ili kisumbue serekali mpya ya zimbabwe hadi wapewe kiti kwenye meza.
The same same Raila wakati ule wa Uchaguzi mkuu wa Kenya aliambia nchi za Magaribi zisitubuthu kuingilia kati Sisa za Kenya kwa kuchukua msimamo flani.... mbona tunafanyia wenzetu jambo ambalo hatutaki kufanyiwa jameni.... Nchi za magaribi zikifanya hivi, inaitwa "foreign interference/meddling", nchi za Africa zikifanya hivyo hivyo, inaitwa "helping our brothers and sisters"...
Kila nchi iwachwe itatue shida zake ndani kwa ndani. Jirani hawezi tatua shida za we na bibi yako, na hata akitatua kwa leo, kesho atawapata mnagombana tena.
Maybe wakati ule wa 2007 PEV tungeachiwa tuendelee kupigana hadi tuamue wenyewe imetosha, tukae chini wenyewe kwa wenyewe na tutatue shida na tofauti zetu, leo hii labda hatungekua na uchumi huu tulio nao lakini tungekua tulitatua shida za ukabila once and for all. lakini vile akina condoliza rice na Kofi annan walituketisha chini, by 2017 election ilikua tumerudi pale pale!!!!
Soma hapa jinsi siasa za Raila zinatumika na chama cha upinzania Zimbabwe. Chamisa copies the Kenyan playbook
Sasa kuna hii habari iliotokea inayosema Raila amehusika kuwapa mawaidha chama cha upinzani cha Zimbabwe ili kisumbue serekali mpya ya zimbabwe hadi wapewe kiti kwenye meza.
The same same Raila wakati ule wa Uchaguzi mkuu wa Kenya aliambia nchi za Magaribi zisitubuthu kuingilia kati Sisa za Kenya kwa kuchukua msimamo flani.... mbona tunafanyia wenzetu jambo ambalo hatutaki kufanyiwa jameni.... Nchi za magaribi zikifanya hivi, inaitwa "foreign interference/meddling", nchi za Africa zikifanya hivyo hivyo, inaitwa "helping our brothers and sisters"...
Kila nchi iwachwe itatue shida zake ndani kwa ndani. Jirani hawezi tatua shida za we na bibi yako, na hata akitatua kwa leo, kesho atawapata mnagombana tena.
Maybe wakati ule wa 2007 PEV tungeachiwa tuendelee kupigana hadi tuamue wenyewe imetosha, tukae chini wenyewe kwa wenyewe na tutatue shida na tofauti zetu, leo hii labda hatungekua na uchumi huu tulio nao lakini tungekua tulitatua shida za ukabila once and for all. lakini vile akina condoliza rice na Kofi annan walituketisha chini, by 2017 election ilikua tumerudi pale pale!!!!
Soma hapa jinsi siasa za Raila zinatumika na chama cha upinzania Zimbabwe. Chamisa copies the Kenyan playbook