Foreign nationals using Tanzanian Passports

hili swala la passport linasikitisha sana mimi nimeshakutana na watu nje wanapassport za tz na wala hawajui tz ipo wapi na wala hawajawahi kukanyaga tz, wasomali, wayemen,nigeria wengi sana wanazo tena michongo inaanzia ubalozi wa tz.

matumizi: nina marafiki wa yemen wanasema kama umetoa palestina,pakistan,iran,afghan na yemen yenyewe ukiomba kazi quatar,U.A.E, saudia ni vigumu sana kupata work permit coz wanahofia ugaidi lkn ukiwa na passport ya tz au kenya ni nchi zenye amani so ni rahisi sana kupata work permit hivyo basi ndio maana jamaa wa yeme wengi wanatafuta passport za nchi hizi na kuna jamaa zao walihangaika sana kupata work permit dubai bila mafanikio lkn walipopata passport za tz within a week walipata kibali na mpk sasa wanadunda.

pia kunawatu hapo dar wanaendesha maisha kwa biashara ya passport saa 3 asbh unampa laki 3 jioni unachukua passport anchohitaji yeye ni date of birth na majina yako matatu basi, kimbembe nenda wewe mzawa pale uhamiaji
 
duh,hii mbona inatisha sasa!
Hivi tuna ulinzi kweli Tanzania hii?
 
Wakenya ndo wametuvamia kwa wingi sana hasa wajaluo. Wanasingizia wamezaliwa Mara tz. Wakenya wa kabila nyingine hutanguliza wanawake kuolewa. Akiolewa mmoja basi utitiri utakaomfuata huku ni mkubwa sana. Kuna wanaume pia wanakuja kuoa tz kwa sababu hizo hizo lakini wachache. Watz wangapi wameolewa au kuoa kenya?

Wajaluo wa kenya hufoji vyeti vya kuzaliwa mkoani Mara kwa kushirikiana na RITA. Kisha hufoji vyeti kuonesha wamesoma elimu ya juu na kufaulu vizuri, hasa wale ambao hawakusoma sana. Kwa kuwa wanaongea kiingereza cha kubabaisha hapa tz huonekana wamesoma.

Wajaluo, wakenya, warundi wamejipenyeza uhamiaji na wengi wako kitengo cha Pasport. Sijui walianza lini huo mkakati
Wakishapata pass za tz hutumia kujihalalisha kwamba wao ni raia. Kisha wanapata huduma zote Kama raia. Kusoma, ajira, ardhi,. Wakiwa kwao kwa mfano hawawezi kumiliki ardhi/viwanja kwa sababu hakuna.
 
kubabeki zao mimi nina uchungu kweli , hii serikali yetu sijui hata iko wapi mimi nilihangaika sana kupata passport miaka ya tisini mwishoni then, nilipoenda huko mamtoni nikakutana na wapuzi eti wana passport hata bongo yenyewe hawajawahi kufika , huu si ni use**& hivi hiii nchi inamilikiwa na nani? na nani anatoa hiki kibali? aua unataka kuniambia kuwa yule mkurugenzi pale hajui huu mchongo? anajua kabisa na wizara yake yote itakuwa inajau huu mchongo wanapenda kuiibia nchi ha wa na kuan siku watanzania wataamka na haya mambo yatawatookea puanai wapumbavu hawa
 

wana JF walionya hilo la kugawa passport zetu kama njugu kwa Wasomali.................siwezi kushangaa wale wateka Meli (somali pirates) kukuta wana passport za Kitanzania.................&)&(^%$%%++_)*@$E$&*(_)_(....Damn!
 
Dawa ni Kuiondoa ccm madarakani huyo ndio mzizi, tukifanikiwa hilo bsi kila kitu kitaenda smooth
 
Nimekutana na watanzania huku ugaibuni wana passport za Burundi, Rwanda, DRC au Somalia, wanajifanya ni wakimbizi kutoka katika hayo mataifa. Ila wana nufaika na misaada mikubwa ya kimaisha inayo tolewa na mataifa haya ya magharibi kwa wakimbizi.
 
Kumekuwa na kamchezo cha kutoa passport ovyo nahisi serikali sasa muangalie
umuhimu wa nani anafaa kuwa na diplomatic passport,,kumekuwa na ongezeko la wahindi wengi kuwa na diplomatic passport sikatai lakini najiuliza wanapewa kama nani??embu mtusaidie watu wa immigration
 
Rostam amesharudisha ile yake ya Diplomatic? yeye sio mbunge hivyo natumaini atakuwa kairudisha
 
Hii post mbona haihusiani na MMU,
mods twaomba muihamishe hii kitu!!!
 

Mkuu,

Hizi pasi hawa wenzetu wamekuwa wakizitumia kwa muda mrefu tu tunaweza kusema miaka karibu 25 iliopita.

Lakini si wao tu ni kila mtu mwenye "access" na Uhamiaji hata watanzania wengine kama wewe wenye uwezo wanachukua hizo pasi.

Kwahio ukiangalia sana "it is too late" kuuliza labda kama ni kuimarisha udhibiti kwenye utoaji wa hizo passport.

Halafu hizi pasi ni muhimu sana, sasa itakuwa vema kama utatuletea angalau mtu mmoja ambae una uhakika anamiliki pasi hio na ambae hastahiki kuwa nayo.
 
Mara kwa mara tumekuwa tukishuhudia mtu mmoja akikamatwa na passport halali za nchi mbalimbali zikiwa na majina tofauti tofauti na majina yote yakireflect kwa huyo mtu mmoja.

Zamani tulizoea kuona na kusikia haya mambo yakifanywa na majasusi wa nchi mbalimbali, lakini kwa Siku hizi imekuwa ni kawaida kwa raia wa kawaida kuwa na passport za nchi tofauti tofauti zaidi ya mbili.

Nimekuwa nikijiuliza ni kwa jinsi gani wanaweza kulifanikisha hili kwa ustadi mkubwa.? Na wao kuishi kwa double identity maana nadhani ni ngumu ukizingatia kwa teknolojia ya finger print na eye recognition iliyo sasa si rahisi kujifichamo. Mwenye clue ya hili jambo naomba anidadavulie.
 
weka iyo mail uliyotuma embassy na ulijibiwa? kama hukujibiwa ulichukua hatua gani?
 
Watanzania wangapi wapo ulaya as Somalis? A great many. Lets go after the big crooks who have sold us into "captivity" kupitia mikataba feki and deal with petty crime later.
 
haya mambo ni kweli kabisa mdau,kweli kabisaaaa,pale migration kuna mtandao mpana sana wa pass,na pia makao makuu ya polisi,posta kuna wana-mtandao
 

Mkuu serikali yetu hadi sasa haiko makini au haitaki kuwa makini hata kidogo na suala la Passport zetu. Hiyo makala inaonekana kuwa imepikwa lakini mpishi amepika chakula cha kweli.
 
Ccm na serikali yao wamegeuza nchi kichaka cha wanyang'anyi. Ukienda ubalozini au hao wanaoitwa uhamiaji na elfu hamsini, sabini huhitaji hata kuongea zaidi ya kusema unataka passport.
Kuna wakati kuwa mtanzania ni kama vile ni sehemu ya ujinga japo wenyewe tunadhani ni ujanja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…