Forest Sec School Mbeya vurugu tupu!

ferre.g

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2013
Posts
2,215
Reaction score
329
Leo ktk shule hii wanafunzi wamepiga mawe walimu na kuvunja vioo vya shule nzima,ililazimu polisi wa kutuliza ghasia kufika eneo hilo na kutuliza hali ya hewa.

Chanzo cha habari rasmi kinadai wanafunzi hao wamekuwa wanajibiwa ovyo na walimu sambamba na mkuu wa shule, ikumbukwe kuwa shule hii ndo ilifikwa na Pccb kwa madai ya kutoza watoto fedha za uchelewaji.hapa jamani vipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…