Forex indicators

Forex indicators

nusuhela

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2014
Posts
5,915
Reaction score
7,210
Naweza sema sijachelewa sana kuyajua haya machache yakiyomo kichwani mwangu kuhusu forex. Najua vizazi na vizazi watakuja kufaidika na hiki kidogo.

Kadri ninavyozidi kuifanya hii biashara ya forex, ndo nazidi kugundua na kuvumbua mbinu mpya kila wakati. Kwa upande wangu, forex naiona kama game gumu sana ambalo linahitaji muda mwingi wa kulielewa na kulifanyia mazoezi ili kwenda hatua inayofuata.

Kuna mbinu moja ambayo sio ngeni na imezoeleka kwa wafanyaji wazoefu wa hii biashara. Mbinu hiyo ni indicators. Indicators kwenye forex, nazifananisha na cheat kwenye game. Ipo hivi, japo unatumia cheat kwenye game, bado utahitaji kulicheza game wewe.

Kuna indicators nyingi sana. Ila nilizozipata hivi juzi, zimeleta mapinduzi makubwa sana kwenye biashara zangu. Nimejikuta sipati hasara kama ilivyokua mwanzo.

Nilipata shida sana kuzipata hizi indicators. Na nimetumia gharama pia.

Kwa wale wanaohitaji hizi indicators, nawakaribisha ila mtanirudishia japo nusu ya gharama zangu.

Ili uweze kutumia hizi indicators, lazima uwe na pc. Hazifanyi kwenye simu.

Kama utakua unazihitaji, basi njoo pm nitakuelekeza namna ya kuzipata na gharama zake. Na nitakuelekeza namna ya kuzitumia.

Karibuni sana tuendelee kujipigia pips.

Kwa wale wanaojua kuhusu mimi kupoteza$300 tangu niijue forex, Mrejesho ni kwamba.

Hivi sasa nina faida ya $130. News ya EUR imemalizia hasara yangu na kunipa faida.

Karibuni sana
 
Mkuu toa bure maujuzi mola atakulipia
Mola ndo nini?

Ningetoa bure mkuu, ila nimezihangaikia sana hizi. Huwezi kuamini. Nili withdraw kamtaji kangu ili niweze tu kulipia nipate indicators.

Kwa wenye uhitaji, sitawauzia kwa bei niliyonunulia mimi. Watachangia japo kidogo nirudishe mtaji wangu
 
Naweza sema sijachelewa sana kuyajua haya machache yakiyomo kichwani mwangu kuhusu forex. Najua vizazi na vizazi watakuja kufaidika na hiki kidogo.

Kadri ninavyozidi kuifanya hii biashara ya forex, ndo nazidi kugundua na kuvumbua mbinu mpya kila wakati. Kwa upande wangu, forex naiona kama game gumu sana ambalo linahitaji muda mwingi wa kulielewa na kulifanyia mazoezi ili kwenda hatua inayofuata.

Kuna mbinu moja ambayo sio ngeni na imezoeleka kwa wafanyaji wazoefu wa hii biashara. Mbinu hiyo ni indicators. Indicators kwenye forex, nazifananisha na cheat kwenye game. Ipo hivi, japo unatumia cheat kwenye game, bado utahitaji kulicheza game wewe.

Kuna indicators nyingi sana. Ila nilizozipata hivi juzi, zimeleta mapinduzi makubwa sana kwenye biashara zangu. Nimejikuta sipati hasara kama ilivyokua mwanzo.

Nilipata shida sana kuzipata hizi indicators. Na nimetumia gharama pia.

Kwa wale wanaohitaji hizi indicators, nawakaribisha ila mtanirudishia japo nusu ya gharama zangu.

Ili uweze kutumia hizi indicators, lazima uwe na pc. Hazifanyi kwenye simu.

Kama utakua unazihitaji, basi njoo pm nitakuelekeza namna ya kuzipata na gharama zake. Na nitakuelekeza namna ya kuzitumia.

Karibuni sana tuendelee kujipigia pips.

Kwa wale wanaojua kuhusu mimi kupoteza$300 tangu niijue forex, Mrejesho ni kwamba.

Hivi sasa nina faida ya $130. News ya EUR imemalizia hasara yangu na kunipa faida.

Karibuni sana
watu wa forex acheni utapeli. kila mtu anajidai mjuzi na kudai hela
 
watu wa forex acheni utapeli. kila mtu anajidai mjuzi na kudai hela
Halazimishwi mtu mkuu. Ukiona unauhitaji unatoa hela wala haina shida. Kama hun a uhitaji, unaacha nayo.

Huu mtindo wa kuita watu matapeli kisa hamjui vitu, unakera na haupendezi.

Inaonyesha ni namna gani mlivyo watu wa hovyo kwa kudhani kila mtu tapeli. Au huenda mnakua na wivu kwa mambo ambayo mnayajua alafu hamjui namna ya kuyafanya kuwa fursa? Hivyo inabidi kuharibu ili nafsi zenu zisuuzike?

Badilika. Mambo hayapo yalivyokua
 
Naweza sema sijachelewa sana kuyajua haya machache yakiyomo kichwani mwangu kuhusu forex. Najua vizazi na vizazi watakuja kufaidika na hiki kidogo.

Kadri ninavyozidi kuifanya hii biashara ya forex, ndo nazidi kugundua na kuvumbua mbinu mpya kila wakati. Kwa upande wangu, forex naiona kama game gumu sana ambalo linahitaji muda mwingi wa kulielewa na kulifanyia mazoezi ili kwenda hatua inayofuata.

Kuna mbinu moja ambayo sio ngeni na imezoeleka kwa wafanyaji wazoefu wa hii biashara. Mbinu hiyo ni indicators. Indicators kwenye forex, nazifananisha na cheat kwenye game. Ipo hivi, japo unatumia cheat kwenye game, bado utahitaji kulicheza game wewe.

Kuna indicators nyingi sana. Ila nilizozipata hivi juzi, zimeleta mapinduzi makubwa sana kwenye biashara zangu. Nimejikuta sipati hasara kama ilivyokua mwanzo.

Nilipata shida sana kuzipata hizi indicators. Na nimetumia gharama pia.

Kwa wale wanaohitaji hizi indicators, nawakaribisha ila mtanirudishia japo nusu ya gharama zangu.

Ili uweze kutumia hizi indicators, lazima uwe na pc. Hazifanyi kwenye simu.

Kama utakua unazihitaji, basi njoo pm nitakuelekeza namna ya kuzipata na gharama zake. Na nitakuelekeza namna ya kuzitumia.

Karibuni sana tuendelee kujipigia pips.

Kwa wale wanaojua kuhusu mimi kupoteza$300 tangu niijue forex, Mrejesho ni kwamba.

Hivi sasa nina faida ya $130. News ya EUR imemalizia hasara yangu na kunipa faida.

Karibuni sana
Endelea kufafanua zaidi ili tukuelewe,
Hizo indicators ni vitu gani??
Forex iko daily, so na indicators utatoa daily?
Indicators zilizofanya ukala hiyo $130 bado zina-exist? au zisha exit?
Unless sijaelewa indicators ni nini
 
wanakuja wangoje mi hizi zinanitosha sitaki complication
 
How about that DJIA?

Anybody into Futures here?
 
Back
Top Bottom