Davidmmarista
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,367
- 2,451
But all works on the same principleForex ni skill na inachukua muda kujifunza mpaka kufikia mafanikio ila forex bila maarifa ni betting......
Betting is not a skill
Nashangaa sana waungwana wanaosema forex trading sio bettingForex ni betting, sababu kunakuwa na outcome zaidi ya moja.
Tofauti na sports betting,
- forex option zake ni 2 tu (Buy, Sell)
- Forex unaweza kuamua kiasi cha kupoteza, betting ukiweka Jero ikipotea ujue imeenda yote.
- Forex ipo saa 24/5 ama 24/7 kwa wanaotumia Deriv
Forex ni hardfied gamblingForex ni betting 100%
Kabisa mkuu hii ni kubashiri kama michezo mingine ndio maana mtu anapata profit na lossukiona mtu anasema sio betting huyo hana anachoelewa kuhusu forex
Huyu jamaa nasikilizaga tweet zake aisee ana akili za kitoto sana. Mpaka najiuliza waliopigwa waliingizwaje kingi ? Any way ukizoea dhuluma hautoboi maana akili inaganda. Ukipata hela unawaza kufumbua tu.Na kaanzisha group lake huko Whatsapp naona atakamata sana vichwa panzi
This guy he is a scammer(From TMT to now)
Huyu jamaa ni scammer ambaye anakuja kwa njia ya motivation ili awatapeli watu. Mtu ambaye anakuja kusanuka ataelewa plan zote za huyu jamaa mwisho wa siku nj utapeliHuyu jamaa nasikilizaga tweet zake aisee ana akili za kitoto sana. Mpaka najiuliza waliopigwa waliingizwaje kingi ? Any way ukizoea dhuluma hautoboi maana akili inaganda. Ukipata hela unawaza kufumbua tu.
Huyu jamaa nasikilizaga tweet zake aisee ana akili za kitoto sana. Mpaka najiuliza waliopigwa waliingizwaje kingi ? Any way ukizoea dhuluma hautoboi maana akili inaganda. Ukipata hela unawaza kufumbua tu.
Kabisa mkuusio forex tu masoko yote ya mitaji including hisa
No brotherMaisha yote ni betting tuu
Y not beother, hshule betting farming betting tuu kwa huku bongoNo brother