MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
THAT IS THE NATURE OF LIFE MY SISY!
it goes that way AUTOMATICALLY!just go back to some many years back,YOU WILL FIND THE SAME TYPE OF LIFE,and the situation was even WORSE!infact the same thing is prevailing IN A MODIFIED FORMAT
Nauliza tu
Hivi ni kwa nini huwa ni ngumu kwa wanaume walio wengi kumsamehe mke pale anapomgundua kuwa anacheat ila kwake anataka asamehewe kama vile ni haki yake kusamehewa??
mwanamke ukikutwa ujue ndio njia ya kwenu inakuhusu, na aibu/kashfa kibao! na hata mwanaume akiamua kukusamehe atakusamehe kinafiki tu mkikwaruzana kidogo utaambiwa"ndio mana uli......." haa, wao ni atarudi home atakumbembeleza hapooo weee mchezo unasonga, mambo ya tamaduni sijui nisemeje.
Sababu ni moja yenye (a) na (b)
(a) Kumbuka wanaume tunatoa, nyie mnapokea wakati wa kufanya matusi.
(b) K ya mwanamke inapungua ubora/kongoroka kadiri inavyotumika wakati M*** za wanaume zinazidi kuwa imara mara dufu kadiri zinapotumika.Pia zinapaswa kupata uzoefu.
Nauliza tu
Hivi ni kwa nini huwa ni ngumu kwa wanaume walio wengi kumsamehe mke pale anapomgundua kuwa anacheat ila kwake anataka asamehewe kama vile ni haki yake kusamehewa?
...inategemea na kosa ndugu, kuachana ni suala lingine. Kuna kiwango cha kusameheana hasa unapojiona kuna namna moja au nyingine umehusika kupelekea mwenzio ku cheat. Msije nitoa macho hapa!
Nauliza tu
Hivi ni kwa nini huwa ni ngumu kwa wanaume walio wengi kumsamehe mke pale anapomgundua kuwa anacheat ila kwake anataka asamehewe kama vile ni haki yake kusamehewa?
Je ni kweli kuwa mke aloolewa hana haki ya kumwacha /kumpa talaka mumewe akimfumania? Mie sijawahisikia mwanamke kamwacha mumewe kwa kosa la uasherati ila wanaume wengi tu tena kwao huwa ni rahisi utasikia ah jamaa si kacheat ndo mana kaachwa.
Je ndivyo mlivyokina kaka?
Ningeomba Mkuu unifafanulie vizuri maan a mie wengi nliosikia sikuwahi kumwona mwanamke alosamehewa baada ya kufumaniwa na mumewe
...ila wanaume waliosamehewa ni wengi ikiwemo mmoja aliyetembea na shemeji yake yaani mdogo wa mkewe na mwingine alifumaniwa na Housegirl kitandani kwa mkewe bado walisamehewa.
Simpo, mke ndie anaebeba siri ya mtoto kabla ya pirika za kupimana DNA hazijaanza. Sasa usamehe huku hujuwi mtoto ni wa nani, si kazi hiyo. Siku hizi kusameheana ni baada ya vipimo vya DNA siyo kabla.
Kwa upande wa mume mara nyingi huku kwetu yeye ndio huwa bread earner, hako nako kanachangia kusamehewa, na in case mama ndio bread earner hapo misamaha huwa rare nadhani.
In red nimeielewa ila ya juu yake sijazungumzia akizaa nje nope hata kama hajamimbiwa huko kwenye affair. Yaani kenda chovya kama vile wewe unavyochovya kwa galfriend wa pembeni
Si lazima awe kazaa, utajuwaje kama kisha beba katoto tumboni?
Afu, taadab, mie sina ka galfrendi wala kabibi ka nje, umri wangu hauni ruhusu hao anti zako wa halali wawili wananitosha, mabusuuutiii.
Kuna mziki fulani kila mwanaume anausikia kivyake..sasa akigundua njemba nyingine inapigiwa mziki ule ule au zaidi ya ule moyo watakachomoka hivyo suala la maridhiano linakuwa gumu
Sababu ni moja yenye (a) na (b)
(a) Kumbuka wanaume tunatoa, nyie mnapokea wakati wa kufanya matusi.
(b) K ya mwanamke inapungua ubora/kongoroka kadiri inavyotumika wakati M*** za wanaume zinazidi kuwa imara mara dufu kadiri zinapotumika.Pia zinapaswa kupata uzoefu.
Mi nilidhani wanawake huwa hawa cheat.....