Form 4 ya miaka 3 mbele ukiwa na D 3 UNAENDA ADVANCE

Sheko

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2013
Posts
280
Reaction score
26
Wakuu sijui form 4 ya miaka mitatu mbele sijui itakuwaje maana nikiwaangalia wanafunzi wenyewe sipati picha.labda baraza ipunguze ukali wa mitihani kama pepa zitaendelea kukazwa qualification za advance zitakuwa d tatu.hiyo ndo hali halisi
 
Hamna kupunguza ukali wa mitihani wala nini.

Unadhani kupunguza ukali wa mitihani ndo kujenga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…