Form four results 2012

watu wote wangekua wanatoa maneno kama haya kwa watu,ungekuta wengi sana wamefariki au kukata tamaa!!!
Ni kweli mkuu ila sijaelewa kwanini wengi wameshindwa kumpa ufafanuzi wakati swali lenyewe ni la msingi kabisa, mtoa maeuliza humu akiamini huwa ni chanzo kizuri cha taarifa
 

Real! Amwamin Mungu, asiogope atafahuru tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…