S sokolaboro JF-Expert Member Joined Dec 1, 2011 Posts 313 Reaction score 54 Feb 17, 2012 #1 Waliofutiwa mtihani wengine walifanya vizuri kwa akili zao. Hivyo kujua aliyekuwa amepata mtihani kabla ni kuwapa mtihani mwingine ambao wataufanya ili wasipotezewe wakati wasiohusika na watakaofeli ndio waliokuwa na mtihani.
Waliofutiwa mtihani wengine walifanya vizuri kwa akili zao. Hivyo kujua aliyekuwa amepata mtihani kabla ni kuwapa mtihani mwingine ambao wataufanya ili wasipotezewe wakati wasiohusika na watakaofeli ndio waliokuwa na mtihani.
N Navoyne JF-Expert Member Joined Dec 12, 2010 Posts 874 Reaction score 373 Feb 17, 2012 #2 Serikali haina muda mchafu.....waliofeli wamefeli waangalie upepo mwingine.
Saint Ivuga JF-Expert Member Joined Aug 21, 2008 Posts 54,762 Reaction score 59,204 Feb 17, 2012 #3 unawapa ule ule tu kama vipi
E ENGINE CONTROL Senior Member Joined Nov 20, 2011 Posts 136 Reaction score 28 Feb 17, 2012 #4 Na mtoto wa ****** nae arudie na akithubutu kupata 4 umaskin tz unaisha.
Perry JF-Expert Member Joined Feb 24, 2011 Posts 10,058 Reaction score 2,195 Feb 17, 2012 #5 Kwa gharama za nan?