luckyboy_360
Member
- Oct 8, 2014
- 20
- 1
Ur welcome at udom...life is so cool with good facilities..so usikilize ya watu...na ujue kuwa elimu popote..na usifuate mkumbo...
we unataka uende kusoma au unataka hadhi ya :msela:chuo jiangalie bwana mdogo
Ur welcome at udom...life is so cool with good facilities..so usikilize ya watu...na ujue kuwa elimu popote..na usifuate mkumbo...
Nataka niende kati ya SUA ,SAUT AU UDOM chuo gani bora niende?
Nataka niende kati ya SUA ,SAUT AU UDOM chuo gani bora niende?
vyuo ovyooUDSM, Muhimbili, SUA, OUT, Mzumbe, UDOM na IFM. Chaguo ni lako, kwingine ni kupoteza muda tu