Mpenda kazi
Senior Member
- Dec 13, 2013
- 178
- 104
Ok mkuu Mpenda kazi
1. Eti naskia MUM wanafunzi wanalazimishwa kufunga ktk kipindi cha mfungo wa Ramadhani hata kama ni wa dini tofauti huzuuliwa kutokula kitu maeneo ya chuo?
Ok mkuu Mpenda kazi
1. Eti naskia MUM wanafunzi wanalazimishwa kufunga ktk kipindi cha mfungo wa Ramadhani hata kama ni wa dini tofauti huzuuliwa kutokula kitu maeneo ya chuo?
2.Pia vipi kuhusu hostel zinapatikana karibu na chuo?
3. Vipi kuhusu somo la dini ni lazima kila mwanafunzi alisome na afaulu vizuri na endapo atafeli itamlazimu adisco chuo hata kama masomo mengine kafaulu vizuri.
4.Lastly; Kwanini kwenye vitabu vya TCU hiki chuo hakipo mkuu?
chuo gan cjaona hapo
mi nadhani jina la chuo linasadifu yaliyomo ndani.. sasa nyie akina CHARLES na JOSEPH mmefuata nini huko?
Chuo cha kiislamu morogoro, that means kinaendeshwa kiislam! na inawezekana kimesajiliwa ili kiendeshwe hivyo mkuu!
Wakristo walioenda huko watakiona cha moto...
Kuna tofauti kati ya ISLAMIC INSTITUTION na MUSLIM INSTITUION. Chuo hakiitwi CHUO KIKUU CHA KIISLAMU CHA MOROGORO ila chuo kinaitwa CHUO KIKUU CHA WAILSAMU CHA MOROGORO.
Ukisikia chuo cha kiislamu basi jua hapo hata kozi zinazotolewa zinahusika moja kwa moja na uislamu. Na si rahisi kwa mtu asiyekuwa muislamu kumkuta akisoma katika chuo cha kiislamu.
Lakini ukisikia chuo cha waislamu basi jua kabisa kwamba kozi zinazotolewa hapo ni mchanganyiko yani kozi ambazo hata mtu asiyekuwa muislamu anaweza kuzisoma.
Sasa chuo kina kozi ambazo hata wasiokuwa waislamu wanaweza kuzisoma.
1/Kwanini kipindi cha mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhan hairuhusiwi chakula kuuzwa chuoni? 2/Kwanini ni lazima kila mwanafunzi asome na kufaulu kwanza masomo ya dini ya kiislam? 3/Kwanini watumishi wote wa hapo chuoni ni lazima wawe waislam? 4/Kwanini dini ndio kipaumbile cha kwanza cha chuo na sio taaluma?
chuo kina waalimu wangapi ambao siyo waislamu?
Kuna fununu hapo Morogoro kwamba mabinti wanaosoma hapo wanajiuza hapo maeneo ya morogoro hasa Msamvu, oilcom, nane nane nk, hata wageni wakija hapo moro hasa wale wanaokuja kwa semina wanawafaudu sana maana kuna cordinator ambaye hurahisisha kazi ya kuwapata hao mabinti. Je chuo kinayajua hayo, na kama kinayajua kimechukukua hatua gani mpaka sasa ili kuepusha taswira ya chuo kuendelea kuchafuka hasa ikizingatiwa kinamilikiwa na taasisi ya dini kubwa Tanzania na duniani kwa ujumla. Na kama chuo hakijui, je kipo tayari kufuatilia hizo fununu zilizopo viunga vya Morogoro na sasa zinasambaa Tanzania nzima?