hooligan01
JF-Expert Member
- Nov 21, 2013
- 664
- 539
kwanza nawapa hongera weng mliofaulu nikiwemo na mimi tofauti na miaka miwili nyuma now tumefaulu wengi kwenda advance kwaiyo hii inamaanisha mitihani ya sisi ya form 6 itakuwa migumu sana ili kupunguza watu so tujipange fresh kwa chuo NI MTAZAMO TU
kwanza nawapa hongera weng mliofaulu nikiwemo na mimi tofauti na miaka miwili nyuma now tumefaulu wengi kwenda advance kwaiyo hii inamaanisha mitihani ya sisi ya form 6 itakuwa migumu sana ili kupunguza watu so tujipange fresh kwa chuo NI MTAZAMO TU