Format ya confirmation letter ikoje

Ilambo

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2012
Posts
475
Reaction score
89
Habarin wana JF,

Nauliza kwa wale tuliozuiliwa kuomba chuo TCU kisa tulipata chuo miaka ya nyuma, wanataka tuandike barua na tuambatanishe confirmation letter, nauliza kwa walioomba Je hii barua ikoje na format yake, chuo kinakuandikia au unaandika mwenyewe.

Ufafanuz plseee
 
Sina hakika sana, ila nadhani unatakiwa uombe barua chuo ambacho ulipangiwa na hukwenda ambayo itathibitisha kwamba ulipangiwa ukasome chuo hicho ila hukuriport, hivyo barua utakayo pewa chuo utaambatanisha na ile utakayoandika wewe ndio utapeleka TCU.

watakuja na wengine kukupa mwanga zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…