Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,211
- 3,611
Alilaumiwa kama State Attorney General kuweka mazingira ya assassinations kuzidi nchini.Aaaaaaa πππhuyu bwana alimpa hard time sana mzee Moi kipindi akiwa Rais, na alikuwa na dharau mingi sana na alikuwa ni mtu wa msimamo sana.
Na alikuwa na mategemeo kuwa akifa Jomo Kenyata basi yeye ndo angekuwa mrithi wake badala ya Moi kwasababu Njonjo alikuwa ni Mkikuyu msomi lakini lakini mzee Kenyata akawa karibu na kumuamini sana mzee Moi, siku zote watawala hupenda watu wasiokuwa na uwezo na profile ya kutisha kuwa manaibu wao.
Kwa msimamo wake Charles Njojo kuna kipindi aliwagomea wazungu kusoma kitu ambacho a
.... ameacha ukwasi unaokadiriwa kufikia USD 3 bn. Alikuwa ameshika ardhi ya kutosha kila pande ya Kenya.Huyu ni mwanasheria nguli wa Kenya aliyekuwa amebaki hai katika baraza la kwanza la marehemu mzee Jomo kenyatta ni miongoni wa Waafrika waliokuwa hamwamini mwafrika mwenzake alioa mzungu akiwa na umri wa miaka 56 hakutaka kupanda ndege iliyokuwa inaendeshwa na Rubanj Mweusi hakuamini kabisa mtu mweusi anaweza alishangilia Sana Kuvunjika kwa iliyokuwa JUMUIYA YA AFRICA MASHARIKI alifungua CHAMPENI ndani ya bunge kwa furaha amefariki Leo alfajiri na mwili wake kuchomwa moto mchana huu wa tarehe 02/01/2022
Charles Njonjo baba yake, Josiah Njonjo alikuwa kibaraka wa wakoloni.Kwa kukosa imani na weusi, nguo zake zilikuwa zinakuwa dry-cleaned London, kama mzee wa vijisenti.
Ukisikia Kikuyu huyu ndiye Kikuyu kweli kweli.Westminster-brainwashed Kikuyu.
Kwahiyo alikuwa ana ukwasi wa Tzs. 6.9 tr (nyuma kidogo ya Fidel Castro) Baghosha!.... ameacha ukwasi unaokadiriwa kufikia USD 3 bn. Alikuwa ameshika ardhi ya kutosha kila pande ya Kenya.
Duh! aisee unamjuwa vizuri huyu jamaa... nadhani unaweza kuandika Biography yake.Ukisikia Kikuyu huyu ndiye Kikuyu kweli kweli.
Moi alipopata madaraka tu Njonjo akatimkia London kuepuka assassination kama Ngugi wa Thiong'o alivyomtoroka Jomo Kenyatta kufuatia kitabu chake cha "Petals of Blood" tumekisoma literature form III.Duh! aisee unamjuwa vizuri huyu jamaa... nadhani unaweza kuandika Biography yake.
Kikuyu wanapenda sana kuchomana (cremation). Mshindi wa tuzo maarufu duniani ya Nobel Prof. Wangari Maathai (Kikuyu) naye aliacha wosia achomwe ili kuokoa mazingira (magogo ya mbao za jeneza) ya Mt. Kenya. Wangari alikuwa Green-belt Activist.Charles Njonjo aliyewahi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Kenya amefariki alfajiri ya leo 02.01.2022 saa 05:00Hrs aged 101. Aliacha wosia akifariki "asicheleweshwe" hivyo asubuhi majira ya 08:00hrs tayari amechomwa moto sawa sawa na wosia wake. Umeelewa?
THE DUKE OF KABETESHIRE!!Westminster-brainwashed Kikuyu.
Alichosema huyo mtu ni ukweli. Marehemu hakupenda Waafrika hata kidogo. Alitamani angezaliwa mzungu. joto la jiweNaona nothing zaid ya kumpondea marehemu. Which haisaidii lolote. Dead people dont talk