barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Mshamba huyo, achana nae.thats what i was saying ila huyo jamaa sijui uelewa wake uko vipi
ok lets stick to the topic now...we are talking abt obeezy nigga...not magu or kiwete...kisha kama ungekuwa mwerevu ungeelewa kuwa namfananisha magu kwa sababu ya ideology yake ya 'tanzania first' ambayo nikama ile ya trump ya america first....we vipi?
HeheheDaaah
Angekuwepo mzee wetu Kikwete
Ukute Obama angepita na bongo
Sasa kama hivi ndio zama za jiwe hakuna namna. Tuendelee kupokea kina Kagame kila mwaka
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Akii wewe! [emoji28]
Na tukiomba kubadilishiwa menu labda tutaletewa Buhari..
Alivyowaleta wewe ulisaidikaje?Aliweza kumfanya Obama atembelee Tanzania kwanza kabla ya kenya na afte 2 months aka mleta Ji Ping.
Kwa Diplomacy kipindi hiki tuko nyuma sana
Kwa hiyo akizunguka ndio wawekezaji watakuja? Wawekezaji wanaletwa na mazingira bora ya uwekezaji kama Stiglers Gorge, SGR, airports, bandari, barabara sio presidential visitsTrump anaposema America first ni kuwa taifa lake linaweza ku handle hiyo kitu. Kwa Tanzania faida yake hakuna zaid ndio anaua uwekezaji tuu.
Haita saidia kwa kweli
Dah leo umekula kitu gani? Mbona unatema madini hivyo.. Hahahahakila mmoja ana advantages zake...Kikwete alkuwa kipenzi cha dunia ila hakupiga hatua yoyote kwa maswala ya maendeleo na kumaliza ufisadi..magu naye namfananisha na trumpπππ"America First"
You are very correct Brother..
Sasa hivi Tanzania ni MKOSI na BALAA kubwa kwa huyu JIWE..
Almost all Head of States who are visiting the Country are Dictators..
Hata siku moja hakuna Kiongozi wa maana wa nje atatembelea Tanzania katika Utawala huu.
We ndio jinga kweli kwani hao wawekezaji si mpaka uende ukajitangaze?Kwa hiyo akizunguka ndio wawekezaji watakuja? Wawekezaji wanaletwa na mazingira bora ya uwekezaji kama Stiglers Gorge, SGR, airports, bandari, barabara sio presidential visits
Punguza ulimbukeni hata ulete wawekezaji million tano kama hakuna umeme unategemea wataendesha viwanda kwa powerbanks?
Kwa hiyo JPM azunguke duniani kutangaza Tanzania? Unajua kazi ya mabalozi, waziri wa uwekezaji, waziri wa mambo ya Nje.?We ndio jinga kweli kwani hao wawekezaji si mpaka uende ukajitangaze?
Unadhani kipindi wanakuja kabla ya SGR walikuja vipi?
Unadhani wenzenu kina Kagame wanaenda kwenye mikutano ya kibiashara kwao airports hazijengwi? Kwao kuna bandari?
Magufuli atakuwa na akili kama zako ndio maana ana feli
Kazi za mabalozi ziko nyingi wale ni wawaikilishi tuu wa rais kule. Ndio maana rais akifanya ziara anaenda hata na mawaziri mbali mbali.Kwa hiyo JPM azunguke duniani kutangaza Tanzania? Unajua kazi ya mabalozi, waziri wa uwekezaji, waziri wa mambo ya Nje.?
Kuna Rais duniani anafanya ziara za kuzunguka kwenye mataifa ya watu kutafuta wawekezaji.?
Wawekezaji wanakuja wenyewe kwa mazingira bora yaliyoboreshwa
Kikwete aliizunguka dunia yote mara 6 ni wapi Tanzania ilifika kutokana na kuzunguka kule?
Hospital Diplomacy!... una dhambi ujue! [emoji1][emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Buhari ana hospital diplomacy
Yeye ana shinda ulaya ila kwakuwa ana umwa.
Ila Buhari na Magu kwenye kufeli mambo ya ndani wako the sane watsap group